Database administrator

Database administrator

Olympus

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
2,818
Reaction score
689
Salaam wazee wa Tech

Naweza pata mtu anayeweza tengeneza database system ambayo inaweza kutuma sms and email kwa baadhi ya individual ambao wapo katika hiyo system pia huo ujumbe unaotumwa unaweza tumwa in form of bulk message hizo message zinaweza kuwa tofauti but zitumwe wakati mmoja kwa watu tofauti.

Kujieleza imekua shida kidogo but kwa mtu aliyeelewa concept nayotaka kuiwasilisha basi ajitokezee hata through pm kama kweli anaweza design database system kama hiyo.

Asanteni


 
Mfano wa hiyo system ni UPI? System inadili na nn.
 
Salaam wazee wa Tech
Naweza pata mtu anayeweza tengeneza database system ambayo inaweza kutuma sms and email kwa baadhi ya individual ambao wapo katika hiyo system pia huo ujumbe unaotumwa unaweza tumwa in form of bulk message hizo message zinaweza kuwa tofauti but zitumwewakati mmoja kwa watu tofauti
Kujieleza imekua shids kidogo but kwa mtu aliyeelewa concept nayotaka kuiwasilisha basi ajitokezee hata through pm kama kwel anaweza design database system kama hiyo...Asanteni

Mimi nimekuelewa kkk, wazo kama ilo nilkuwa nalo kitambo sana. kutengeneza program itakayotuma SMS kwa wateja Kuwajulisha Ada wanayodaiwa kila inapokaribia mwisho wa muhula wa masomo.

Programu hiyo . kaz yake ni kuchukua contact details za mteja (jina na no yake ya simu) kutoka kwenye database ambayo ni excel (kama unatumia program nyingine,kwanza una-export kwenda kwenye excel/ kama inasupport).

The unaandika template message. Unafanya configraation na kutuma.

Kutuma Hizo SmS,Nilikuwa nimepaga kutumia moderm ya Hauwei.

Unafanya serial programming ya hiyo modern ili iweze kutuma hizo message kwa pamoja.

Nilifanya majaribio ya hiyo kitu, Nikafanikiwa. Ila bahat mbaya niliibiwa laptop . hiyo project ikapotea
 
Salaam wazee wa Tech
Naweza pata mtu anayeweza tengeneza database system ambayo inaweza kutuma sms and email kwa baadhi ya individual ambao wapo katika hiyo system pia huo ujumbe unaotumwa unaweza tumwa in form of bulk message hizo message zinaweza kuwa tofauti but zitumwewakati mmoja kwa watu tofauti
Kujieleza imekua shids kidogo but kwa mtu aliyeelewa concept nayotaka kuiwasilisha basi ajitokezee hata through pm kama kwel anaweza design database system kama hiyo...Asanteni

Mkuu kaz yako inaweza kufanyika pls drop contact yako nikucheck.
 
Salaam wazee wa Tech
Naweza pata mtu anayeweza tengeneza database system ambayo inaweza kutuma sms and email kwa baadhi ya individual ambao wapo katika hiyo system pia huo ujumbe unaotumwa unaweza tumwa in form of bulk message hizo message zinaweza kuwa tofauti but zitumwewakati mmoja kwa watu tofauti
Kujieleza imekua shids kidogo but kwa mtu aliyeelewa concept nayotaka kuiwasilisha basi ajitokezee hata through pm kama kwel anaweza design database system kama hiyo...Asanteni

Kwa kutumia softwares framework zipi au developer ndo atachagua!!?
 
Unahanfaika na nini,ingia google tafuta mbona zipo nyingi tu. Hizo za kibongo siku mbili tu unampigia simu aje kurekebisha
 
Unahanfaika na nini,ingia google tafuta mbona zipo nyingi tu. Hizo za kibongo siku mbili tu unampigia simu aje kurekebisha

Hiyo ni kawaida katikA software development. Ndio maana software zinakuwa na updates
 
Back
Top Bottom