Recent content by Profesa Mgala

  1. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Demu wangu ananinyima sana tunda

    Nilimpeleka hospitali akapigwa utrasound ndo wakabaini pia alikuwa anaumwa na tumbo na kutokwa uchafu hata wiki nzima au mbili mfululizo
  2. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Demu wangu ananinyima sana tunda

    Ugonjwa flan anakuwa anatoa uchafu ukeni inaleta makovu kwenye kizazi baadaye inapelekea mimba kutunga nje ya mji wa mimba
  3. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Demu wangu ananinyima sana tunda

    Niliwahi kuwa na mwanamke yaani ghetto anakuja ila mzigo ananipa napiga kamoja anaondoka yaani hajiachii nikachunguza nikakuta kumbe mgonjwa ana Pelvic Inflammatory Disease (PID) mchunguze huyo huenda mgonjwa usiishie kumlaumu, kama angekuwa hakupendi asingekuja kwako
  4. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Elimu kubwa TAMISEMI ni kunitafutia stress

    Unaposema kuwa chawa unamaanisha nini?
  5. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Wanawake matom boys huwa wanavutiwa na wanaume wa aina gani?

    Tomboy wengi wanasaga wanaume... Siku hizi wanawake wanadate na mashoga wanawapelekea moto na dildo au vidole
  6. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Elon Musk yupo hatua za mwisho kutengeneza mke bandia

    Acha uongo ni $3+ sawa na 7.4M za kibongo
  7. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kupokea wageni

    Shida sio wageni shida ni laana ya umaskini inakutafuna. Unaishije ishije kama unaumia wakija wageni? Maisha ni kufurahi.
  8. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa mapele makubwa kisogoni kwa wanaume wanene

    Umepona kabisa mkuu, mi na mshkaji wangu vinamsumbua balaa.
  9. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini wanawake wengi hawapendi kuolewa na mwalimu?

    Naunga mkono hoja mkuu hiyo kada leo nmegundua inadharaulika sana[emoji16][emoji16]
  10. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini wanawake wengi hawapendi kuolewa na mwalimu?

    Ndiyo kaka anamzidi japo so kiviile....sema unakuta wote wapo daraja D ila wanazidiana pesa kidogo.
  11. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini wanawake wengi hawapendi kuolewa na mwalimu?

    Tatizo kubwa la walimu wengi wanatoka familia duni, pia hawataki kujiendeleza kielimu. Unamkuta mwl kwao yeye ndo tegemezi na alivyo zuzu anapeleka watoto English medium badala ya kupambana kujenga uchumi. Mbona kuna watu hata hawajasoma na hawajaajiriwa ila wana maisha mazuri tu. Huyo mwl...
  12. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini wanawake wengi hawapendi kuolewa na mwalimu?

    Mwl... Unafail wapi? Hakuna mtu alotajirika kwa kitegemea mshahara. Jiongeze
  13. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini wanawake wengi hawapendi kuolewa na mwalimu?

    Hao walimu unaowazungumzia wa wapi? Mi walimu walonifundisha advance wapo vizuri mfano mwl Sigimba ana VX na shule ya English Medium ipogoro Iringa, Head Master William alonifundisha Njoss ana Range Rover Evoque....Pia kuna Mwl Abuu Maliki ana shule nzuri ya msingi na Secondari. Tatizo...
  14. Profesa Mgala

    JamiiForums Tanzania Jamani hapa kuna mapenzi kweli?

    Unaposema hana maajabu una maanisha maajabu gani?
Back
Top Bottom