Recent content by Prof. Mizengwe

  1. P

    Nimrod Mkono: Nitaisaidia serikali kupunguza au kufuta deni la DOWANS

    Njia rahisi ya kupunguza hili deni la DOWANS ni kwa baadhi ya wahisika kijitoa katika mgao na hivyo kupunguza jumla ya fedha zinazohitajika kulipwa. Nadhani ndio jinsi Mh Mkono anavyotaka kutusaidia kwa kujitoa au kuwatoa wenzake kwenye mgawo.
  2. P

    Mwakyembe amtaja waziwazi Rostam Aziz!

    Inasikitisha sana kuona wenzetu wakifanya juhudi za makusudi kusonga mbele na huku sisi tukifanya kila jitihada za kurudi nyuma kwa kujiingiza kutumia DOWANS, IPTL, RITES, ATCL. Sijaona masterplan ya DIA na sina uhakika kama itakaribia hata by 10% hiyo materplan ya JKIA. Nadhani tatizo kubwa ni...
  3. P

    Spika Sitta Kung'olewa?

    :)Safari ya kutenga mijusi kwenye msafara wa kenge naona ndio imeshaanza!! Nadhani katika historia ya uchaguzi wa Tanzania, 2010 unaweza kuwa mwaka wa kukumbukwa!!
Back
Top Bottom