Tofauti na wengi wanavyodhani, kiuhalisia ubongo ukiathirika kinachofuata ni moyo, Ubongo utaudai moyo kupiga damu zaidi ambapo hapo utakuwa unautanua
Wengi hawa hukutwa na vifo vya ghafla kwa kuwa wanakuwa wanawawaza wapenzi wao hadi mioyo inatanuka sana,
Achaneni na Stamina, mnaharibu mioyo
Ndugu yangu Kiranga unanisulubu bila kosa, kimsingi tangazo nitaleta mwakani la kuwaamsha vijana wenzangu wapambane kufika ughaibuni kwa njia halali na kupata mashavu ya kutosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.