Guys, achana na story kwamba mimi ndio yule mtz aliyewauza watz, haihusiki na mimi, nilichangamsha genge. Nilirudi Tz ili nipate mrembo wa kwenda naye duniani, nikarudi mrembo akazingua nikaona sio kesi, nikasajili namba mpya. Hii namba mpya iko serious aisee, kwanza anapiga kazi zaidi ya...
Kuendesha bodaboda sio ishu, na hiyo sio kwa maana kuwa elimu yao haina maana, bali matumizi ya wanasayansi nchini bado ni ya kusuasua. Kumbuka AIMS wanaanzia Masters
Ili kuboresha elimu Africa washirika mbalimbali wanatoa hela zao kufadhili masomo ya wanafunzi wa post graduate wa hesabu kwa taasisi inayojulikana kama African Institute of Mathematical Sciences (AIMS). Chuo hiki kiko nchi mbalimbali kikichukua wanafunzi wa hesabu na engineering na kuwasomesha...
Kosa lingine hakuna Winsconsin University... bali University of Winsconsin.
so basically kwa GPA ya 4.5 means umesoma Tz ambao wanatumia 5. Marekani wanatumia 4. Hii ikukae akilini kwanza usidanganye watu humu
Niko bar hapa wanapiga kuachwa! kuachwa! Kuachwa ni shughuli pevu. Miezi kadhaa tulikuwa na mipango ya kutafuta eneo la kupumzika kwa muda kidogo. Tuliangalia maeneo mengi mazuri il ndio hivyo nimekula za uso.
Aisee huyu mrembo akisema turudiane, lazima niende sehemu sijawahi kwenda ili tuanze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.