Recent content by Prof Janabi wa JF

  1. P

    Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

    Tofauti na wengi wanavyodhani, kiuhalisia ubongo ukiathirika kinachofuata ni moyo, Ubongo utaudai moyo kupiga damu zaidi ambapo hapo utakuwa unautanua Wengi hawa hukutwa na vifo vya ghafla kwa kuwa wanakuwa wanawawaza wapenzi wao hadi mioyo inatanuka sana, Achaneni na Stamina, mnaharibu mioyo
  2. P

    Wataalamu wa Hesabu hapa shida ni nini?

    Ukila matunda kila siku na maji lita tano, hii hesabu ni nyepesi
  3. P

    Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

    Dah! Nahisi mpenzi wangu ni wa sample hii, hana uhakika kama anataka kuolewa au la
  4. P

    Mpenzi wangu hataki niende naye ughaibuni

    I am cyber geek, na sio bonge, Mimi ndio nakuambia angekuwa na wake wa moyoni asingenipa muda mwingi kama alionipa
  5. P

    Mpenzi wangu hataki niende naye ughaibuni

    Manzi ya mtu aje na anatumia muda mwingi kwangu? How comes awe na mtu wake ambaye hajawahi mpigia nikasikia kwa muda wote nimekuwa naye
  6. P

    Mpenzi wangu hataki niende naye ughaibuni

    Ndugu yangu Kiranga unanisulubu bila kosa, kimsingi tangazo nitaleta mwakani la kuwaamsha vijana wenzangu wapambane kufika ughaibuni kwa njia halali na kupata mashavu ya kutosha
  7. P

    Mpenzi wangu hataki niende naye ughaibuni

    Mkuu sitafuti wale wa kupeana kwa one night, hao wapo everywhere
  8. P

    Mpenzi wangu hataki niende naye ughaibuni

    Nakubali nakubali Mrembo wa jiji
  9. P

    Mpenzi wangu hataki niende naye ughaibuni

    Aaah nchi za kiarabu au Mashariki kwa ujumla sijawahi kuzikubali kivile, naenda Magharibi
  10. P

    Mpenzi wangu hataki niende naye ughaibuni

    Dah! Japo penzi kitovu cha uzembe, huu uzembe unaotaka kunishauri siuwezi. Hii fursa nimelala naiota kama mwehu, nimeipata halafu niiache, bora mniue
  11. P

    Mpenzi wangu hataki niende naye ughaibuni

    Kwenda na mtu sio lazima, japo nimepewa fursa za kufanya hivyo
Back
Top Bottom