Recent content by Prof Decentman

  1. P

    Natafuta Video Gospel series za Gaither

    Wandugu, Yeyote mwenye msaada kwa hili tafadhali.
  2. P

    Natafuta Video Gospel series za Gaither

    Wadau, Kwa yeyote mwenye Gaither gospel series hasa videos na ziwe katika softcopy anisaidie ama aniuzie. Kama zipo kuanzia 50 na kuendelea itakuwa vzr zaidi. Natanguliza shukrani.
  3. P

    Nampenda sana mke wa rafiki yangu

    Mkuu kwanza hongera kwa kupendwa na shemeji yako ni jambo zuri. Pili hongera kwa angalau kulileta hili hapa kupata ushauri. Tatu nakupa pole sana kwa kuwa unachokiendea ni kitu cha hatari sana kuliko unavyowaza. Yaani unatakiwa ukimbia kutoka hili jambo haraka haraka haraka sana. Madhara ya...
  4. P

    Je, Tanzania tupo katika mdororo wa kiuchumi?

    Aksante. Waweza weka maelezo ya kiuchumi zaidi?
  5. P

    Je, Tanzania tupo katika mdororo wa kiuchumi?

    Kiongozi hatari hiyo!
  6. P

    Je, Tanzania tupo katika mdororo wa kiuchumi?

    So ni nini hichi tunapitia?
  7. P

    Je, Tanzania tupo katika mdororo wa kiuchumi?

    Wadau salaam? Natambua humu jamvini wapo wataalam wa uchumi wabobevu. Sisi wengine si wachumi japo yapo maeneo yetu ambayo tupo vizuri. Nirudi kwa wataalam wa uchumi, je hichi tunachokipitia sasa ni nini? Ukiniuliza mimi binafsi naona wapo watu biashara wamefunga na wengi wanadai biashara...
  8. P

    Usipomuachia mwanamke alama hizi ujue si wako sikuzote

    Una maanisha hata mkojozaji wa kwanza humkumbuki?
  9. P

    Usipomuachia mwanamke alama hizi ujue si wako sikuzote

    Kiongozi point zako ni sahihi kabisa ila application zake ndio changamoto hasa ktk ulimwengu wa dot com. Na hapo uliposema haifai kumfanya mwanamke kuwa lengo maishani ni sawa na kusema usimpe attention ya kutosha na hapo ndipo utamkuta mtaa wa saba. Ukimuuliza mbona pesa na mahitaji yote nakupa...
  10. P

    Usipomuachia mwanamke alama hizi ujue si wako sikuzote

    Ndo maana nimesema kama mark zote huna basi caring na pesa vinaweza kukuweka akilini mwake ipasavyo.
  11. P

    Usipomuachia mwanamke alama hizi ujue si wako sikuzote

    Ok alikwambia kama mumewe alikuwa anamfikisha ?
  12. P

    Usipomuachia mwanamke alama hizi ujue si wako sikuzote

    Nadhani uzoefu wako wa kumtoa bikra ni mbaya maana hata hamkua ktk mahusiano na isitoshe ulimpa bad experience from day one.
  13. P

    Usipomuachia mwanamke alama hizi ujue si wako sikuzote

    Pamoja kiongozi. Haya ndio maisha yetu duniani na ukweli utabaki ukweli siku zote.
  14. P

    Usipomuachia mwanamke alama hizi ujue si wako sikuzote

    Ni vzr kuwa unapenda pesa au vitu vya thamani ila hilo halizuii yule anayeweza kuumiliki moyo wako maana moyo haudanganyi kule unakopapenda. Kama hao wameacha hizi alama kwako nina hakika bado unawakumbuka na usikute ushawahi kujuta kumpoteza au kuwapoteza wenye sifa tajwa juu. Ila sio shida...
Back
Top Bottom