Onyesha ni Hali ya kufanya mtu aone kitu fulani mf,Juma alionyesha kitabu. kwa swala la onesha ni Hali ya kutoa matumizi,sifa,maana na mambo mengine ambayo yanaweza kuoneshwa.Mf,onesha matumizi ya gari kwa nchi ya Tanzania.unaweza ukaulizwa swali Kama hilo.nafikiri umeweza kupata chochote...