Duu kweli mkuu hapo nimegonga mwamba maana nilitaka kuagiza heatpress machine ya kuprint T-shirt huku nimeona inauzwa laki name had milioni na sasa nikaona alibaba inauzwa dola115... ..kumbe gharama za usafiri ni kubwa kuliko hiko kitu ninachoagiza bora niache......
Nimeona machine ya Ku print alibaba inauzwa bei cheap.dola 115 sasa nimeshawishika kununua ...sasa ndio nikapata kigugumiz kwenye gharama za usafiri na kodi zisije kua kubwa nikapoteza pesa zangu... Cjaagiza bado Ila nafikiria kuagiza..naomba uzoefu..
Jamani naombeni msaada,
Kwa yeyote aliyewahi kuagiza kifaa chichote au kitu chochote kutoka China chenye uzito wa 30 kg gharama za usafirishaji zikoje?
kudumisha mapenzi katika ndoa
Katika kujadili mada hii nyeti ambayo inagusa maisha ya kila mmoja wetu kwa kiasi kikubwa nitaijadili katika sehemu kuu tatu. sehemu ya kwanza ya utangulizi kwa ufupi nitaangazia maana ya mapenzi na ndoa kwa ujumla sehemu ya pili nitaangazia vitu vipi vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.