Hahaa! Mimi jamani cku ya kwanza kwenda Posta mwenyewe nilikuwa naelekea maeneo ya Ifm, nakumbuka nilizunguka jengo la imalaseko mara tatu nisijue naelekea wapi, mbaya zaidi nikakutana na mzungu akaniulizia imalaseko iko wapi, hicho kingereza nilichokuwa nakiongea mmh cha form six leaver ya...
Cjajua bado kuquote ila ntaelewa kidogokidogo. Jilala asante , ila kila akimuuliza mbona cku hizi umebadilika, anachojibu ni kwamba hakuna tatizo lolote, mambo tu yamekuwa Mengi. Hivyo anashindwa amuelewe vipi
Habari wana jf.Mimi ni mgeni humu ila napenda kushea hili nililo nalo ili nipate ushauri zaidi. Nina rafiki yangu ambaye ana mchumba wake wanatarajia kufunga ndoa mwezi ujao ila tatizo ni kwamba huyo mchumba ambaye ni me amekuwa hamuelewi cku hizi, wanaweza wakakwaruzana hata kwa kitu kidogo tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.