Recent content by princessrahma

  1. P

    Kituko cha mwaka 90

    Hahaa! Mimi jamani cku ya kwanza kwenda Posta mwenyewe nilikuwa naelekea maeneo ya Ifm, nakumbuka nilizunguka jengo la imalaseko mara tatu nisijue naelekea wapi, mbaya zaidi nikakutana na mzungu akaniulizia imalaseko iko wapi, hicho kingereza nilichokuwa nakiongea mmh cha form six leaver ya...
  2. P

    Msaada, mume wangu mtarajiwa simuelewi !

    Jamani whatever it is cha muhimu ni ushauri, Asante mamaafacebook nishakaribia
  3. P

    Msaada, mume wangu mtarajiwa simuelewi !

    God bell and shy land.hapa nipo kutaka ushauri ili niweze kujua namsaidia vipi. Sio kubomoa kama shy land unavyodhani. Nadhani nimeeleweka
  4. P

    Msaada, mume wangu mtarajiwa simuelewi !

    Sr.bachelor. hahaa am already taken
  5. P

    Msaada, mume wangu mtarajiwa simuelewi !

    Cutie asante kwa ushauri
  6. P

    Msaada, mume wangu mtarajiwa simuelewi !

    Cjajua bado kuquote ila ntaelewa kidogokidogo. Jilala asante , ila kila akimuuliza mbona cku hizi umebadilika, anachojibu ni kwamba hakuna tatizo lolote, mambo tu yamekuwa Mengi. Hivyo anashindwa amuelewe vipi
  7. P

    Msaada, mume wangu mtarajiwa simuelewi !

    Habari wana jf.Mimi ni mgeni humu ila napenda kushea hili nililo nalo ili nipate ushauri zaidi. Nina rafiki yangu ambaye ana mchumba wake wanatarajia kufunga ndoa mwezi ujao ila tatizo ni kwamba huyo mchumba ambaye ni me amekuwa hamuelewi cku hizi, wanaweza wakakwaruzana hata kwa kitu kidogo tu...
  8. P

    Mwana MMU kwa upande wako siku ya kwanza ilikuwaje?

    Sitaki kuikumbuka hii siku mwenzenu jamani mmh! Najuta!
  9. P

    Huyu binti nimempata mwezi wa tatu sasa hajaniomba hela nimueleweje

    Sio mpaka akuombe, wengine hawajazoea. Jiongeze tu mwenyewe
Back
Top Bottom