Guys, mh.RC makonda ni mtu anayethubu, na ukiangalia mahojiano yake Jana na star tv unaona kabisa anachoongea ni sahihi. Mr.Ruge wa CMG ni mnafiki mkubwa asiyestahili hata kdg. Kwanza anahojiwa na TV yake na subordinates ambao wana masilahi yao, lkn ni nani asiyejua kuwa rafiki hugeuka na...
Mbona maneno mengi mno, punguzeni mameno mtuletee vitu vipya like music, muwalete ktk stage pia ma miss! tushaanza kuwachoka na maneno yenu, cjui ooh umependeza and so forth, kah!
Kama unajamaa yako anafanya kazi hapo mdadisi atakuibia siri, mm nimewapa habari mchukue tafadhali na mamlaka husika ziwe alerted maana mnaona vyema kugawiwa pipi badala usalama wa maisha ktk safari
Cyo kwenda nakugeuza kwa maana ya mchana mmoja, nikwamba mfano gari linatoka Mza asbh j'mosi linafika dar saa saba usiku afu kesho yake asbh gari hilo hilo lirudi Mza huko ndiko namaanisha, lkn pia muda wa mabasi kuondoka stendi ni saa 12 kamili na abiria wanakuwa hapo saa moja kabla ya muda...
Mabasi ya DAR LUX yafanyayo safari zake ktk baadhi ya mikoa hapa nchini imejikuta ikidhalilisha abiria wake baada yakuonekana inapendwa na abiria wengi. Uongozi wa kampuni hiyo umejikuta unaingiwa tamaa na kujikuta inalazimisha madereva wake kufika na kugeuza siku hiyo hiyo bila kujali umbali wa...
Watu walikuwa wapiga dili aisee, pamoja na hela kuwa scarce resouce lkn ilifikia hatua kwa baadhi ya watu Bandarini nawapiga dili wengine hela ikawa cyo tatizo bali tatizo ikawa matumizi, mtu akifanya kazi bandarini miezi 6 tu huyo cyo mwenzako, na ilikuwa kupata kazi hapo kama hujatoa hongo...
Wanajamvi nimemaliza kuangalia marudio ya kipindi chaMagufuli ITV akiwa bandarini akiongea na wafanyakazi, nimemsikiliza kwa makini sana, pamoja na kazi nyingi nzito na za hatari ambazo amekwisha pambana nazo, nimefikia hatua yakumkubari sana huyu kiongozi.
Hakika ni mtu aliyetumwa na MUNGU...
Ni ngumu sana kupiga hela kwa namna hiyo eti watendaji wa serikali RAS, DED na mhasibu mkuu washirikiane kuiba waziwazi namna hiyo afu tena wafungue na account, ndiyo maana napendekeza busara itumike. Wapewe nafasi yakujieleza na uchunguzi ufanywe, ninauhakika kabisa watu hawa walikuwa na nia nzuri
Ninavyo wafahamu watu wa Bukoba (BK) wengi wananafasi nzuri kifedha haswa watu wa kyelwa na Misenyi na wengi wao wako mbele (Ulaya), watu kama hao wanapoona janga kama hilo limetokea wako tayari sana kutuma misaada yao moja kwa moja eneo la tukio kuliko kutumwa Dsm afu ndo ipelekwe Bk. hivyo...
Tumbua hii jamani iangaliwe vzr. Binafsi imenisikitisha sana. RAS, DED na Mhasibu mkuu ni watendaji wakuu ktk serikali ya mkoa, wanapopata msaada kutoka kwa marafiki cyo rahisi na salama kupokea hela na kukaa nazo majumbani mwao, hivyo yawezekana kabisa waliona ni jambo jema misaada hiyo...
It's so sad! Daraja hapo la Kazi gani!!! Mlioshika mpini tafadhali elekezeni hiyo fedha ktk shughuli nyingine muhimu za maendeleo, hatuhitaji hela zetu zipotelee ktk daraja hilo kwakuwa halina tija.
Cc: mhe. JPM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.