Recent content by princeNathan

  1. princeNathan

    Polepople: Cuba mtungi wa gesi wa kilo 20 unauzwa TZS 2,000/=. Tanzania unauzwa 55,000/= TZS.

    Naunga hoja nchi za Asia 1.5gb daily inakuwa inajirenew usiku sa sita mpk mwezi mzima kwa shilingi za kitanzania 12000 mpk mwezi uuishe huku tanzania utakuwa umetumia laki moja net au zaidi maana gb 1.5 huku bongo ni 3000 na haijulikani inaishaje kwa mwezi unaweza tumia laki na zaidi na...
  2. princeNathan

    Hivi Maulid Kitenge na Zembwela siwasikii Wasafi FM, kulikoni?

    Kaka niko na degree mbili ila mateso ni makali huku mtaani
  3. princeNathan

    Maombi ya Intern au volunteer

    Yahnimesoma nje project yangu ilikubalika wakani offer phd ya data science ila masilahi yalikuwa madogo tukashindwana kutokana na mazingira ya nje
  4. princeNathan

    Maombi ya Intern au volunteer

    Rejea kichwa cha hapo juu mimi ni kijana umri miaka 28 nina masters degree in computer science vijana wezangu,kaka zangu , baba zangu, mama zangu na wazee wangu naomba mnisaidie niweze kutengeneza ujuzi wangu kwa kupata experience ya taaluma yangu kwa volunteer au internship. Mimi nina ujuzi...
  5. princeNathan

    Kuhusu volunteer au Internship ya computer science

    Ndugu narejea tena naombeni nafasi ya kufanya internship au volunteer niweze kupata ujuzi zaidi mimi ni graduate nina masters of science in computer science umri miaka 28 ninauhitaji wa kufanya intern mkoa wowote. Mimi ni mtaalamu wa data science , Machine learning, AI, mobile app, data...
  6. princeNathan

    Nani yupo nondo kati ya alie fanya Masters au aliesoma vitabu vingi kwenye eneo husika?

    Kujua vitu ni jitihada zako haijalishi upo level gani mimi nilimaliza degree nipo unga nimekuja kwenda masters ndio nikajua vitu coz nilicheza mwanzo nazani akili ikanijia sipaswi kucheza tena ingawa bado na hustel
  7. princeNathan

    Je, ni sahihi mtoto wa miaka 34 kufukuzwa nyumbani?

    Kwamba yesu yupo kwa baba yake miaka zaid ya 2000 mimi miaka michache hiyo wanifukuze kweli
  8. princeNathan

    Je, ni sahihi mtoto wa miaka 34 kufukuzwa nyumbani?

    Wazazi ndio waondoke waniachie kwetu wao warudi kwao huko walikosaliwa
  9. princeNathan

    Je, ni sahihi mtoto wa miaka 34 kufukuzwa nyumbani?

    Mimi nina 48 na nimegoma kuondoka
  10. princeNathan

    Upatikanaji wa volunteer au kazi

    Asante sana mkuu shukurani kwa ushauri mzuri
  11. princeNathan

    Upatikanaji wa volunteer au kazi

    Pamoja sana mkuu nakubaliana nawew
Back
Top Bottom