crabat kuna mambo mengi sana huyajui kuhusu uislam wa tanzania na mali zake,usiwe shabiki wa ki siasa tu na kukandamiza,Bakwata ndio wana mapungufu lakini unajua historia ya hayo maeneo? au wewe unaongea tu kishabiki udhuria vikao na makongamano ya busara ya waislam ndio utajua historia ya kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.