Good...upo sahihi kwa unacho kijua mkuu ..lakini wacha nikufahamishe zaidi kwa sababu vitu vimebaadilika...saiv malim amebadili maakazi pamoja na ofisi akija pemba..mwanzo alikuwa anaitumia hyo nyumba unayoosema wewe ya huyo mznz aliyopo nje (Hawaii) jina halisi silijui..sasa saiv atakuwa...
Huwa sina mabadiliko kwenye kusave namba ya kipenzi changu..mtindo ni ule ule tu hata niwe nao mia kwa wakat mmoja .maana tangu kitambo ilikuwa huu mtindo ulikuwa unapita ktk hisia zangu .napenda kuiridhisha nafsi yangu..ili hali halitakuwa na muonekano mbaya ..mfano..HAIYTHAM WA REKIK
Mkuu..sikia kwani ni watu wa dini hii tu wanafanya hayo matendo..mpaka useme sheria za dini..dini yetu inatuwelekeza kwamba endo ..ukiwa una maji mengi sana..unatakiwa ufunge na siyo vengne..tena vijana wanafikia umri wa miaka 20 na kuendelea na hwana mademu na ivo vitendo hawafanyi...iyo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.