Recent content by Prince Of Darkness

  1. P

    Tuungane mkono dhidi ya Kunyamazishwa

    Ni afadhali upoteze hirizi kuliko kufiwa na mganga, tuliopeteza hirizi tulirudi kwa mganga wetu tukatengenezewa zingine, nyau nyie mliofiwa na godfather mtalia na kusaga meno.
  2. P

    Ng'ombe aliyemuua mwenye ng'ombe

    Qoute of the week. " Ni afadhali upoteze hirizi, kuliko kufiwa na mganga" tuliofiwa na godfather tunalia na kusaga meno.
  3. P

    Yatokanayo baada ya Humphrey Polepole kuvamiwa! Maswali muhimu kwa wahuni

    Nimeenda kuangalia kamusi ili nijue maana ya neno mhuni, kumbe mhuni ni neno pana ila tafsiri yake kuu ni mtu ambaye hajaoa, ila pia pamoja na kutooa kuna viji- characteristics Kama Saba hivi vya mhuni, ambavyo ni kutokuwa na familia, uvaaji wa kutepesha suruari, kuvuta sigara unamolala...
  4. P

    Pazia la hekalu linapasuka, asante wenye CCM

    Ni afadhali Mara mia wahuni kuliko washamba, wahuni hawajawahi kuwa watu wabaya since day one, wahuni wanajua kula na kipofu, washamba gang kafieni mbali nyau nyie.
  5. P

    Rais Samia alikosea Mwanzo hawezi kurekebisha kwani tayari ameshaharibu

    Yaani 2025 ni Samia hilo halina mjadala kabisa ni utamaduni wetu CCM kwa incubent president hashindanishwi kwenye ngwe yake ya pili.
  6. P

    Polepole kuita wanaccm wengine ni wahuni anatukumbusha ile mechi pendwa Bush Stars vs Born Town!

    Washamba gang ni timu isiyokuwa na nguvu kwa sasa na 2025 wajiandae kulia na kusaga meno. Don wa timu ya washamba ni mzimu wa mwendazake
  7. P

    Kunani? mbona simanzi nyuso za washiriki na idadi ndogo ya wahudhuriaji ziara za rais Samia?

    Nyie mkisusa sie hatuna Cha kupoteza, mabranch yetu yatashiriki na tutapata legitimacy ya kushika dola, asa mfano ccm tunawezaje kupoteza muda kuiba kura au kutangaza kibabe Jimbo la gwajima? Majimbo Kama hayo tutayaacha uchaguzi uwe huru na wa haki na wakurugenzi wa majimbo ya washamba gang...
  8. P

    Kunani? mbona simanzi nyuso za washiriki na idadi ndogo ya wahudhuriaji ziara za rais Samia?

    Wahuni gang kuendesha nchi hatuhitaji kuzoa majimbo yote bali, majimbo 150 yanatutosha kabisa, 2025 majimbo ya washamba gang tutayaacha uchaguzi uwe huru na haki so kazi kwenu wapinzani kuyapambania.
  9. P

    Kunani? mbona simanzi nyuso za washiriki na idadi ndogo ya wahudhuriaji ziara za rais Samia?

    Washamba gang jiandaeni kulia na kusaga meno 2025, wapinzanj 2025 msisuse uchaguzi make majimbo ya washamba gang ccm hatutayapiginia tutawaacha wagombea wajitetee wenyewe chama tutaelekeza nguvu majimbo ya wahuni gang.
  10. P

    Rais Samia alikosea Mwanzo hawezi kurekebisha kwani tayari ameshaharibu

    CCM hatujawahi kutegemea makaratasi ya kupigia kura kupata rais, mpende msipende 2025 Samia ndo rais, na kwenye chama tutaprint fomu moja tu kwa ajili ya Samia.
Back
Top Bottom