Usiyape nafasi maneno yenye dhihaka na kejeli kuja na kuifikia akili yako ya ndani maana yanaweza kukuvunja moyo na kukupunguza nguvu yako ya mapambano.
Tumia utaratibu wa KUJISEMESEA MWENYEWE, ili kuweka ulinzi wa mpaka wa kutoruhusu kufikiwa kwa akili yako ya ndani.
Ni mwanamke fulani mwenye akili na busara. Anayo namna ambayo huleta amani na faraja. Linapokuja suala la mume wake, kwa asilimia zote amejitahidi kumfanya mumewe ajione ni mwanaume bora.
Amekuwa mwanamke ambae amemuondolea mumewe wasiwasi na kumpa mapenzi kemkem yenye tija. Amekuwa mwanamke...
Let's wait and see what will happen.. Maana nasikia Uganda hata ndugu hawajaona mwili wa Jamaa... Na inshu ya hospital na mambo yote yalivyokuwa anajua Zari na King Laurence tu pmj na madokta nyuma ya pazia.. Nimeangalia interview ya zari na millardayo daaa... Yupo normal bibiee anakimbana na...
Alikuwa mwanamke mzuri, yes mzuri haswa hakustahili kuwa gerezani tena akitumikia kifungo cha miaka 15 jela na huku akiwa ameshatumikia miaka 11.
Akiwa na huzuni na msongo wa mawazo akapitisha adhma moyoni mwake ya kuwa mwaka huu usipite lazima atoroke gerezani kwa namna yoyote ile. Ni heri...
Tunakua wema kwa watu baki, lakini majumbani mwetu hasa kwa watoto zetu shida tupu
Nilikuwa nikiwahi kazini, nikiwa natembea haraka haraka nikaparamiana na mtu ambaye sikuwa nikimfahamu " kwa kujishusha na kwa ukarimu nikamwambia samahani sana ndugu yangu, sikukuona ndio maana nikakuparamia...
Pindi jua lichomokapo asubuhi huchomoka na baraka za watu waliohai. Mimi na wewe ni miongoni mwa watu tuliohai, hivyo hatuna budi kupokea baraka hizo za Mungu na kumshukuru kwa yote atendayo kwetu.....!
PRINCE NAAHJUM ALSINA
Nikiwa kitandani kwangu leo asubuhi nikawa natafakari na kujiuliza "ni nini siri ya mafanikio, nifanye nini nifanikiwe?" majibu ya kufanikiwa nikayapata mulemule room kwangu.
FENI ikaniambia niwe cool nisikurupuke, DALI ikaniambia "fikiri juu zaidi".
MADIRISHA yakaniambia "tizama nje uone fursa...
1- Kamwe usisahau kumuomba Mungu wako kabla hujasema "YES" kwa yule unaedhani anapaswa kujenga maisha na wewe. Usikimbilie kuolewa. Kama utakimbilia kuolewa, utaikimbia ndoa na tena kwa majeraha makubwa.
2- Tambua lengo lako kabla hujaingia kwenye ndoa. Fanya biashara yoyote, tafuta shughuli ya...
1- Kamwe usisahau kumuomba Mungu wako kabla hujasema "YES" kwa yule unaedhani anapaswa kujenga maisha na wewe. Usikimbilie kuolewa. Kama utakimbilia kuolewa, utaikimbia ndoa na tena kwa majeraha makubwa.
2- Tambua lengo lako kabla hujaingia kwenye ndoa. Fanya biashara yoyote, tafuta shughuli ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.