yan kila msichana ambae nimetokea kumpenda na kumueleza hisia za kwel huwa ananipiga cha mbavu, lakn yule ambae namtongoza kimasihara, huwa anazama na kunipenda kwa dhat,lakn cdumu nae cha ajab,mpaka nafikia hatua nakata tamaa. Wakat mwingne najiona kama nina gundu. Pleas makaka na madada ur...