Recent content by prince john john

  1. prince john john

    JamiiForums Tanzania Ili mtoto aone raha kwenda shule ni lazima aende na hela ya walimu

    Tumeacha kuchapa tumehamia kwenye hela na bado mnalalamika...!
  2. prince john john

    JamiiForums Tanzania Hizi vita za Viyoyozi (AC) huko Maofisini watu watatoana roho. Watu wanamaindiana kabisa

    Majumbani kwao kwani hawana...? Kazi ni kipimo cha utu
  3. prince john john

    JamiiForums Tanzania Airtel 5g: Ni kasi ya mtandao au ni kasi ya kuiba pesa za wateja?

    Yajayo yanafurahisha
  4. prince john john

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anatangaza kwa watu mi Bahili kwa kutompa pesa zangu, nimemwambia anipe zake aone kama nitakuwa bahili kuzitumia hataki

    kataa kabisa ndoa ili uweze kulinda afya yako ya akili
  5. prince john john

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuhusu huyu beki tatu wangu, uvumilivu utanishinda

    Rest in peace
  6. prince john john

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimfanyeje mpenzi wangu aache kutukana matusi tukiwa katikakati ya tendo?

    kataa ndoa ulinde afya yako njema ya akili...
  7. prince john john

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakika msioe, ndoa imeangamiza ndoto na ndoa ni Janga

    Kataa kabisa ndoa tulinde afya zetu za akili
  8. prince john john

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inasemekana, waraka wa kwaresma wa TEC-2026 upo tayari na umejaa maoni binafsi ya katibu mkuu wa baraza hilo pekee

    Na uzuri kanisa si moja tu katoliki takatifu na la mitume....
  9. prince john john

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna jamaa mmoja wa bodaboda hapa mtaani namchapia mke wake Sasa nahisi kama ameanza kujua

    kataa kabisa ndoa kulinda afya yako ya akili
  10. prince john john

    JamiiForums Tanzania Bajaj zenye picha ya Tundu Lissu zawa gumzo mjini, wasafiri wazigombea

    Hiyo plate number MC 217 FAA hii wiki ndiyo mwisho wake kuonekana mtaani...
  11. prince john john

    JamiiForums Tanzania Wana Jamii naombeni msaada wa mawazo, hawa Pmbet.co.tz niwafanyeje?

    Subiri kidogo babu mtandao utakaa tu sawa.... Sijawahi bet na poleni mnaobet
  12. prince john john

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli hii ya Padre Kitima nimeamini kuwa kweli Kanisa Katoliki ni sikio la kufa

    Kunabjamaa hapa ameniuliza wewe pia unazunguza ukiwa na kofia ngapi
  13. prince john john

    JamiiForums Tanzania Majina halisi ya Wakatoliki feki walioandamana yaanza kuvuja, limo la Kidawa wa Mwananyamala

    Jumapili kama namuona Askofu Mkuu Rwaichi atakavyo ruka nao
Back
Top Bottom