Recent content by Prince C

  1. P

    Ben Mtobwa "tutarudi na Roho zetu" afariki dunia

    Natafuta kitabu cha zawadi ya ushindi
  2. P

    Sheikh Kaluta Amri Abeid ni nani katika historia ya taifa hili?

    Aliandika vitabu gani na alikuwa mzaliwa wa wapi? na je..familia yake
  3. P

    Sifa za mume mwema

    1. Awe mwenye kumcha Mungu Mume mwema ni yule anayeheshimu nafasi ya Mungu katika maisha yake, anayemcha Mungu na kuepukana na uovu wa kila aina. Anatambua kwamba Mungu ndiye anayepaswa kuongoza maisha yake na si vinginevyo. Kumbukumbu 6:5 Nawe mpende BWANA Mungu wako, kwa moyo wako wote, na...
  4. P

    Namshukuru mungu nimepata mchumba aliyeokoka

    Glory to god,wiki kadhaa niliandika status ya kumtafuta mwanamke aliyeokoka,kiukweli nimepata na upendo tunaooneshana ni wa ajabu sana,mungu awabariki watu wake
  5. P

    Natafuta Mchumba aliyeokoka (Mwanamke)...

    Za leo watu wa MUNGU,natafuta Mwanamke aliyeokoka na anayependa kufanya kazi ya MUNGU,Kwa moyo mkuu,awe na umri wa miaka 24-26.....0773 842 849
  6. P

    Niliambukizwa HIV na mtu niliyemwamini!

    Pole ndugu yangu,nakushauri uokoke,sasa maana yesu ni bingwa wa magonjwa,chukua hatua leo
  7. P

    Natafuta mchumba mwenye vvu

    Okoka ndugu yangu,huo ukimwi kwa yesu..sekunde tu unaondoka..okoka ndugu yangu....
  8. P

    Natafuta Mchumba aliyeokoka (Mwanamke)...

    Mimi ni kijana niliyezaliwa 1987 namtafuta Mwanamke aliyeokoka ambaye yupo tayari kuishi kama Mke pia mwenye wito katika kumtumikia MUNGU..0773 842 849
Back
Top Bottom