Recent content by primaquin

  1. P

    Serikali imeishiwa pesa?! Yashindwa kuwalipa Mahakimu pesa za posho kwa wakati

    Kunaweza kuwa na sababu zaidi ya hivyo, na jambo mara moja lisikutoe roho
  2. P

    Kuna changamoto EA radio na wasafi radio!?

    Watanzania wenzangu habari! Nimekuwa kwa muda mrefu nikisikiliza radio tajwa hasa vipindi vya michezo na magazeti. Lakini hata hivyo siku za karibuni sisikii vipindi hivyo badala yake muda mwingi wanapiga muziki! Je kuna changamotot yoyote ya uandishi au maadili !
  3. P

    Viongozi wa Kiislam Kupitia BAKWATA elimikeni, haki ya Uchaguzi sio Uvunjifu wa Amani

    Tuwasamehe tuu. WENGI WAO elimu dunia ni haba sana zaidi wamekariri kitabuu tuuu!
  4. P

    Niulize chochote kuhusu Taifa la Burundi

    Kuna wanawake wazuri?
  5. P

    Mifuko ya UTT AMIS kuanzia Januari 2024 mpaka Desemba 30 2024

    This is true! Mtu aliyenunua vipande vya umoja fund kwa TZS 100 mwaka 2007 akanunua let's say vipande 10000 leo ana value ya 10m
  6. P

    Mifuko ya UTT AMIS kuanzia Januari 2024 mpaka Desemba 30 2024

    Si kweli kwamba fixed account zinatoa faida zaidi ya UTT
  7. P

    Anatafutwa mwanamke 35-45 years

    Hahhaa
  8. P

    Anatafutwa mwanamke 35-45 years

    Hahhaa, anatakiwa shangazi
  9. P

    Anatafutwa mwanamke 35-45 years

    Ena kambaku, ghwajugha
  10. P

    Anatafutwa mwanamke 35-45 years

    Habari, natafuta mwanamke wa umri 35-45 , kwa ajili ya uhusiano wa kimapenzi na si ndoa. Niko Dar es salaam. Karibu tupate muda wa kufurahia maisha pamoja. Usiwe tegemezi!
Back
Top Bottom