Mkuu,
Hesabu zako hazipo sahii. Kutoka Dar es salaam airport paka New York airport kwa kutumia Emirates ni Tshs 22,000,000 kwa First class, Tshs 9,800,000 kwa Business class na Tshs 4,200,000 kwa Economy class. Unaweza kuangalia hizi rate kwenye website ya emirates.
kwasabu walienda kwenye...