Recent content by presenter

  1. presenter

    Hili la 'Mkulu wa Kaya' kwenda kucheki afya nje huku hospitali zetu zikikosa dawa ni 'wrong timing'

    Nadhani atakuwa huko kwa siku kumi kwahiyo afya yake lazima itaimarika bhana.. Na nyie si mkapange foleni mpewe 'Parasetamo' halafu dawa zingine muandikiwe mkanunue ' Famasi yetu' mbona mnajifanya kufuatilia sana.. Alaah
  2. presenter

    Jinsi Bilionea wa Madawa ya Kulevya (Chonji) alivyokamatwa huko Magomeni

    Hongera kwa kuwaza na kuchangia nilichokuwa nataka kuchangia..umewaza mbali sana... Kizungu tunasema 'You have think outside the box'
  3. presenter

    Utafiti: Wanachama wengi wa CHADEMA ni watu waliokata tamaa ya maisha

    Utafiti wangu aina ya 'quantitative research' baada ya kusoma uzi huu nimegundua umeandikwa na mtu mwenye uoga wa ghafla, njaa kali pamoja na ugonjwa wa Upungufu wa Akili Kichwani (UAKI)
  4. presenter

    UKAWA waikubali katiba iliyopo kwa asilimia mia

    Kama una kumbukumbu vizuri ndugu, suala la kubadilisha katiba lilipata nguvu mara baada ya Dr. Slaa alipotangaza kuwa moja ya mambo atakayoyatekeleza endapo angeingia ikulu..hivyo hilo linathibitisha hakuna anayehitaji katiba ya zamani..lakini mchakato ulioanzishwa na Mh. JK umepelekwa kichama...
  5. presenter

    UKAWA waikubali katiba iliyopo kwa asilimia mia

    Mkuu nahisi hujanielewa vizuri..maana yangu sio kuwa UKAWA peke yao ndo wana akili.. Maana yangu ni kuwa hii katiba hata uwe mwana CCM kindakindaki endapo utasoma vizuri bila kuweka uitikadi wa kichama, katiba hii ina mapungufu makubwa sana ukiacha hata hilo la serikali tatu. Mambo kama madaraka...
  6. presenter

    UKAWA waikubali katiba iliyopo kwa asilimia mia

    Maoni yangu ni kuwa uratibiwe mpango maalum na JF wa kuwapima akili wanaojiunga na mtandao huu ili kupunguza wimbi la mrundikano wa nyuzi zisizokuwa na ulazima wa kupotezeana muda kuusoma
  7. presenter

    Donors now confirm withhold of Sh. 1tr Aid over the IPTL Scandal

    Ahsante nngu007 kwa taarifa zaid..yaan hii serikali inayojiita sikivu ingekuwa inasikia kilio cha wananchi juu ya ufisadi tusingefika hapa tulipo.. Hapo tutakaoumia ni sisi wananchi kwa kucheleweshewa mishahara na sio wao
  8. presenter

    Donors now confirm withhold of Sh. 1tr Aid over the IPTL Scandal

    Kutoka katika ripoti ya Deutsche Welle (DW) leo mchana taarifa zinaeleza kuwa nchi wahisani wa Tanzania wamechelewesha misaada ya bajeti ya nchi ambayo ndio inasimamia shughuli kuu za taifa. Nchi hizo wahisani zijumuisha Norway, Sweden, Denmark, Uingereza, Finland, Ujerumani, Canada, Japan...
  9. presenter

    Mjomba Mpoto Rudisha Nauli..Kama umekula turudishie hata Chenji iliyobaki

    Na sasa ni kama amevaa miwani ya mbao..haoni tena mbele, kushoto wala kulia...
  10. presenter

    Mjomba Mpoto Rudisha Nauli..Kama umekula turudishie hata Chenji iliyobaki

    Kweli kabisa mkuu..na sumu iliyomuingia itatafuna hadi watoto na wajukuu zake
  11. presenter

    Mjomba Mpoto Rudisha Nauli..Kama umekula turudishie hata Chenji iliyobaki

    Hapo zamani za Kale palitokea mtu mmoja aliyekuwa na mengi ya kusema kama samaki lakini mdomo ulikuwa umejaa maji.. Alikuwa hana nauli ya kumfikisha mjini kwa 'Mjomba' kumueleza yanayotusibu. Mungu si Athumani alipata nauli lakini pia viatu kwa kuwa alikuwa akitembea peku.. Bahati mbaya sana...
  12. presenter

    Hivi kuna ulazima wa mtu kulazimishia kupigwa, kufa kwa risasi au kwa kutunguliwa?

    Kama una akili timamu ungejiuliza kwanini ni haki kikatiba kuandamana..au kuandamana mnavyotafsiri nyinyi ni kuvaa mashati ya kijani na kwenda kumpokea kiongozi wa CCM basi??? Sikia ndugu yangu...watu wanapoandamana haimaanishi wanataka kufa kwa nguvu bali wanafikisha ujumbe kuwa hatutaki hicho...
  13. presenter

    Slaa na Lissu hatimaye wameonekana tena!

    Kweli umethibitisha Lumumba at work.. Yaani mmeshazoea mkiandamana mnafungwa skafu na mashati yenu mnafanana kama migomba inayotembea..hela yenyewe buku 7 siku nzima halafu mheshimiwa anaingiza siku na laki zake kadhaa.. Walahi bado tuko gizani na bila nyie tutafanikiwa tu
Back
Top Bottom