Recent content by preciouse

  1. P

    Fursa ya kuuza maji

    Habari marafiki, naona kama fursa zipo nyingi ila hatuzitumii, nafikiria sehemu zenye uhaba wa maji mtu akiwa na tank la kama lita 5000 hivi akanunua maji kwa supplier akauzia watu wa eneo hilo kwa ndoo si ni biashara hiyo pia au mnaonaje?
  2. P

    Samahani lakini

    Biashara ya maziwa. heading ilikua "Maziwa fresh"
  3. P

    Samahani lakini

    Nimeweka mada muda si mrefu ikaondolewa na nilikua nimeshaanza kupata comments, naomba kuuliza kuna kitu nilikosea kwenye uandishi wa ile mada au!! kwanini imeondolewa haraka hivyo?
  4. P

    Maziwa Freshi

    Habari wana JF, natafuta maziwa fresh ya ng'ombe kwa ajili ya kuuza. nipo Dar ni wapi nitapata kwa bei nzuri?
  5. P

    Hivi mtaji wa 30,000/= unaweza kufanyia biashara ipi?

    Dah hili wazo nilikua nalo nikawa sijui wapi karibu pa kupata maziwa fresh, nmegundua maeneo mengi mjini hakuna maziwa halisi ya ng'ombe. unaweza fahamu ni shilingi ngapi kwa lita hapo ubungo?
  6. P

    Msaada pa kupata viatu kwa bei nzuri.

    Habari wana JF, Naomba anayejua aniambie ntakapo pata viatu vizuri vya ngozi (sendozi/makubazi) vya kike na kiume kwaajili ya kuuza, kuna mtu ananiambia Arusha ni bei rahisi na kuna viatu vizuri zaidi ya Kenya ni kweli? au kama kuna sehemu nyingine pia ntashukuru. Pia eti kati ya Nambanga...
  7. P

    Ana mapenzi kweli huyu au anataka kulelewa tu!

    Siyo hadithi ni kweli. Nampenda ndiyo lakini si kiasi cha kuvumilia ujinga nafikiria hata akisema kunioa atakua mume wa aina gani.
  8. P

    Ana mapenzi kweli huyu au anataka kulelewa tu!

    Mwenzangu nafikiri huyo mwenzangu ndo analipa kodi na bills nyingine mi nalisha.
  9. P

    Ana mapenzi kweli huyu au anataka kulelewa tu!

    No sifurahishwi na nshamwambia atulie tu na huyo mwanamke wake wataelewana ila anadai ananipenda sana hawezi kuniacha, mwanzo sikuamini kama kweli anademu ila alinionesha hadi conversation zao inaonesha uhusiano wao haupo kivile tena imebaki kutamkiana tu sasa kutokana na ushauri wenu ndo napata...
  10. P

    Ana mapenzi kweli huyu au anataka kulelewa tu!

    Asante ndo nlikua nawaza nimtokeje, tatizo pia tunaongozana kutoka kazini.
  11. P

    Ana mapenzi kweli huyu au anataka kulelewa tu!

    Sijawahi kumtakia ila hua najaribu kumuambia hali halisi kama sina hela, mzazi wangu anaumwa namwambia gharama nnazotumia kununua madawa ili awajibike kama mwanaume ila anauchuna tu.
  12. P

    Ana mapenzi kweli huyu au anataka kulelewa tu!

    Nliweka post jana tu, leo ndo nasoma coments zenu nitazifanyia kazi muda si mrefu.
  13. P

    Ana mapenzi kweli huyu au anataka kulelewa tu!

    Nimezaliwa hapa, nimenasa tu kwenye tundu bovu.
Back
Top Bottom