Habari marafiki, naona kama fursa zipo nyingi ila hatuzitumii, nafikiria sehemu zenye uhaba wa maji mtu akiwa na tank la kama lita 5000 hivi akanunua maji kwa supplier akauzia watu wa eneo hilo kwa ndoo si ni biashara hiyo pia au mnaonaje?
Nimeweka mada muda si mrefu ikaondolewa na nilikua nimeshaanza kupata comments, naomba kuuliza kuna kitu nilikosea kwenye uandishi wa ile mada au!! kwanini imeondolewa haraka hivyo?
Dah hili wazo nilikua nalo nikawa sijui wapi karibu pa kupata maziwa fresh, nmegundua maeneo mengi mjini hakuna maziwa halisi ya ng'ombe. unaweza fahamu ni shilingi ngapi kwa lita hapo ubungo?
Habari wana JF,
Naomba anayejua aniambie ntakapo pata viatu vizuri vya ngozi (sendozi/makubazi) vya kike na kiume kwaajili ya kuuza, kuna mtu ananiambia Arusha ni bei rahisi na kuna viatu vizuri zaidi ya Kenya ni kweli? au kama kuna sehemu nyingine pia ntashukuru.
Pia eti kati ya Nambanga...
No sifurahishwi na nshamwambia atulie tu na huyo mwanamke wake wataelewana ila anadai ananipenda sana hawezi kuniacha, mwanzo sikuamini kama kweli anademu ila alinionesha hadi conversation zao inaonesha uhusiano wao haupo kivile tena imebaki kutamkiana tu sasa kutokana na ushauri wenu ndo napata...
Sijawahi kumtakia ila hua najaribu kumuambia hali halisi kama sina hela, mzazi wangu anaumwa namwambia gharama nnazotumia kununua madawa ili awajibike kama mwanaume ila anauchuna tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.