Wapendwa niko na ml3 nimepewa na mzazi wangu ili nifungue biashara mahali Dar es Salaam lakini biashara hiyo iwe na uwezo wa kuleta faida laki4 kwa mwezi na iwe nje ya frame wenye mawazo tafadhal mnisaidie.
Tena yule dada baada ya huduma akaamua kutoa shuka n kutandika lingine kutokana n muda akashindwa kufua bado ni mmbaya tu huyo mtu wanaume mnaboa sanaaaa
Je mfano ww mwanaume umemuomba girlfriend wako aje akutembelee ajue unapoishi for the 1st tym then baada ya kufika ukampokea kwa mwashtete zotee mkaingia ndani ukaagiza chakula mkala pengine mkajiongeza mkafanya mlichofanya baadae yule dada anaamua kutaka kurud kwao then ukamuaga tena kwa hug...
Habari mimi ni mwanafunzi wa stashahada ya sheria kama kuna sehemu ipo ya wakili msomi naomba anisaidie ili niendelee kujikwamua kimaisha please ambae yupo anamjua anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.