Recent content by Prayer

  1. P

    Mrema ana tatizo gani wakuu? Afya yake imedhoofu sana

    Muombe Mungu msamaha,hujafa hujaumbika,sote hatujui mwisho wetu.
  2. P

    Kiimani zaidi

    Ubarikiwe kaka,naomba kuongea nawe ila pm zinanishinda.
  3. P

    Niliapa kuyafuta machozi ya mke wangu mpaka naiaga dunia

    Nami nashukuru Mungu,kupata mume mwenye tabia kama zako,Mume wa aina yako ni faraja tosha,ubarikiwe sana.
  4. P

    Daktari bingwa wa wanawake kuhusu uzazi

    Nami nahitaji msaada km huo
  5. P

    Msaada jamani

    Mara mbili, na zote nimepasuliwa
  6. P

    Msaada jamani

    Habari ndugu zangu? naombeni ushauri, namiaka 30 ni mama wa mtoto mmoja wa miaka nane nilijifungua vizuri, ila tatizo limeanza mimba zinazofata ikifika miezi saba nablid ghafla bila maumivu yoyote na kupoteza mtoto na mimi kufanyiwa upasuaji, nimefanya vipimo mimi na mr vipimo havioneshi...
  7. P

    Uchawi kupitia panya

    Hatari!
Back
Top Bottom