Dada unaweza kupata mimba bila hata kuanza kuona siku zako baada ya kujifungua, hiyo lactating amenorrhea inaweza fika kikomo na yai likapevuka bila wewe kujua, mwishowe ukajikuta mimba ishaingia. tumia hata njia za uzazi wa mpango kama hauna mpango wa kuzaa harakaharaka Ms mol,
Anaweza kuendelea kubaki na hiyo mimba na akajifungua kwa operation (elective caesarean section), kwakuwa kuna hatari ya mshono kupasuka endapo ataruhusiwa kukaa hadi uchungu uanze wenyewe. Kuhusu mtoto huyo sio mdogo sana, ukimlea kwa matunzo mazuri especially kwenye chakula hakikisha anapata...
Mpeleke kwa daktari bingwa wa magonjwa ya masikio, pua na koo (ENT specialist) akafanyiwe uchunguzi, inawezekana ana ugonjwa unaitwa adenoid hypertrophy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.