Ushauri; Mke wangu kapata ujauzito mwingine wakato bado ana mtoto wa miezi 9 anayenyonya

Mteule halisi

Senior Member
Oct 21, 2014
199
96
Habari zenu wataalam wa afya!

Mke wangu alijifungua kwa operation mtoto ana miezi tisa sasa, sasa huwa tunashiriki tendo kwa kuangalia kalenda tu kujua siju za hatari na salama.

Sasa imetokea mke wangu kapata ujauzito na mtoto ana miezi tisa na bado ananyonya, wife kapanic na anaitaji kutoa mimba.

Je, hii ina madhara kiafya hasa kwa mtoto kama asipotoa mimba?
 
Kama ni mke wako kweli..Sishauri watu watoe ushauli ila wakupe ushauri.
 
Kidonda cha operation kinapona taratibu sana, lakini baada ya miezi tisa huwa kinakuwa kimepona na kama kungekuwa na complications angesikia maumivu. Hata hivyo muone gynaecologist upate ushauri pia mama achekiwe vizuri.

Tatizo binadamu ni wabishi sana, baada ya operation kabla ya discharge nurse huwa anamueleza mama options zote zilizopo za family planing.
 
Mtoto ana miezi tisa na mimba nyingine imeingia. Mmmmh kama mnatoa sababu isiwe udogo wa umri wa mtoto labda ziwe sababu za kiuchumi au kiafya.

Ila kiukweli mkizaa mama ni atachoka mno. Jitahidi uwe unamsaidia angalau kurudi nyumbani mapema, kucheza na huyu ambaye sasa hivi ana miezi tisa, kuogesha watoto na kuwabadili nguo na au diaper.
 
Anaweza akajifungua ila ni kama kifo tu! Kidonda cha operation kisikie kwingine tu jaman, nendeni Hosp msikilize Dr ,na ushauri mtakaopewa kama mkeo hatakuwa komfotabo toeni tu hyo mimba, Mungu mkuu ataelewa tu. Operation ni kifo kabisa kile, miezi Tisa kidonda ndani hakijapona,je mimba kizidia ikachana mshono? Nendeni hosp.
 
Anaweza akajifungua ila ni kama kifo tu! Kidonda cha operation kisikie kwingine tu jaman, nendeni Hosp msikilize Dr ,na ushauri mtakaopewa kama mkeo hatakuwa komfotabo toeni tu hyo mimba, Mungu mkuu ataelewa tu. Operation ni kifo kabisa kile, miezi Tisa kidonda ndani hakijapona,je mimba kizidia ikachana mshono? Nendeni hosp.
Asiee
 
Anaweza kuendelea kubaki na hiyo mimba na akajifungua kwa operation (elective caesarean section), kwakuwa kuna hatari ya mshono kupasuka endapo ataruhusiwa kukaa hadi uchungu uanze wenyewe. Kuhusu mtoto huyo sio mdogo sana, ukimlea kwa matunzo mazuri especially kwenye chakula hakikisha anapata lishe bora, atakua vizuri kabisa akiwa na afya njema. Kikubwa aanze clinic mapema na akamuone daktari bingwa kwa ushauri zaidi. Asihuzunike inatokea kwa wanawake wengi tu wanaotumia calendar kama njia ya uzazi wa mpango
Habari zenu wataalam wa afya!

Mke wangu alijifungua kwa operation mtoto ana miezi tisa sasa, sasa huwa tunashiriki tendo kwa kuangalia kalenda tu kujua siju za hatari na salama.

Sasa imetokea mke wangu kapata ujauzito na mtoto ana miezi tisa na bado ananyonya, wife kapanic na anaitaji kutoa mimba.

Je, hii ina madhara kiafya hasa kwa mtoto kama asipotoa mimba?
 
Mkuu Mteule halisi,

Amani ya Bwana iwe pamoja nawe na sisi sote...

Kitendo cha mkeo kupata ujauzito huku akiwa na mtoto mwenye miezi tisa sio tatizo kabisa. Kuna watu wanapata mimba huku wakiwa na mtoto au watoto wa miezi miwili na wanalea mimba na watoto wote bila tatizo kabisa. Uwe nae karibu.

Jaribu kuonana na daktari wa masuala ya akina mama atakupa ushauri mzuri tu wa jinsi ya kulea hiyo mimba na mambo yatakavyokuwa wakati wa kujifungua. Inawezekana kabisa akajifungua salama licha ya kufanyiwa upasuaji hivi karibuni. Daktari atawapa ushauri mzuri utakaozingatia na kuupa kipaumbele uhai wa mama.

Usishawishike kuitoa hiyo mimba. Madhara yake kisaikolojia, kiafya na kiroho ni makubwa sana, na huenda yakawaandama siku zote za maisha yenu. Uamuzi wa kutoa mimba muwaachie madaktari ambao wataona na kufanya hivyo kama tu uwepo wa hiyo mimba au kujifungua kutagharimu maisha ya mama.


Ninawaombea Mwenyezi Mungu awaongoze, awafariji na awajalie neema nyingi sana katika wakati huu mgumu mnaopitia. Ninasisitiza: utoaji wa hiyo mimba uwe ni maamuzi ya mwisho ya daktari akiona kuwa hakuna uwezekano wa kuwasaidia na kuwaokoa wote mama na mtoto. Piganieni uhai wa huyo mtoto mpaka mwisho.

Aidha, ninatambua kuwa huenda ni kitu kigumu sana, lakini bora kuliko kuamua kuwa wauaji.

Uwe na wakati mwema.
 
Kidonda cha operation kinapona taratibu sana, lakini baada ya miezi tisa huwa kinakuwa kimepona na kama kungekuwa na complications angesikia maumivu. Hata hivyo muone gynaecologist upate ushauri pia mama achekiwe vizuri.

Tatizo binadamu ni wabishi sana, baada ya operation kabla ya discharge nurse huwa anamueleza mama options zote zilizopo za family planing.
Sky, sas mbona hujamshauri mleta mada afanyeje !!.
 
Habari zenu wataalam wa afya!

Mke wangu alijifungua kwa operation mtoto ana miezi tisa sasa, sasa huwa tunashiriki tendo kwa kuangalia kalenda tu kujua siju za hatari na salama.

Sasa imetokea mke wangu kapata ujauzito na mtoto ana miezi tisa na bado ananyonya, wife kapanic na anaitaji kutoa mimba.

Je, hii ina madhara kiafya hasa kwa mtoto kama asipotoa mimba?
Aisee Mteule, umekosea saana, kwa afya ya mama aliyetoka kujifungua inatakiwa akae walau miaka miwili ndio anaweza kushika mimba nyingine, umekosea sana jamaa, jifunze kuji control bwana, hiyo si sawa hata kidogo
 
Mzee we nikitombi yani hauna huruma kabisa mkeo ananyonyesha wewe unataka gegeda mnabemenda mtoto

Aya basi ungegegeda kistaharabu ata na kakondomu au ukamwaga wazungu nje wewe unacheulia ndani?

Pathetic idiot kabisa
Wahi hospital kwa daktari bingwa wa kina Mama
 
Mzee we nikitombi yani hauna huruma kabisa mkeo ananyonyesha wewe unataka gegeda mnabemenda mtoto

Aya basi ungegegeda kistaharabu ata na kakondomu au ukamwaga wazungu nje wewe unacheulia ndani?

Pathetic idiot kabisa
Wahi hospital kwa daktari bingwa wa kina Mama
 
Back
Top Bottom