Unajua kuna mambo ambayo unaweza ongea kama alivyoongea bila kujia impact ya maneno yake.
Kwanza kabisa kwa mujibu wa Sheria mwenye Mamlaka ya kutangaza matokeo ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa Tanzania Bara huku. Kama walimtangaza mbunge fulani ni mshindi basi kuna nafasi ya aliyeshindwa kukata...
Kupanga ni kuchagua! Wengi wa wale walioanza na ideology ya Ubepari wakati nchi zao bado ni changa wameishia kupata matabaka either ya kikanda au kikabila! Inawezekana ukaona kuwa tumechelewa sana lkn amini kuwa misingi aliyoijenga mwalimu ndio leo tupo wamoja hivi unavyoona hatuulizani makabila...
Kaandika vitabu au kaunganisha materials mbalimbali kutoka ktk vitabu vya wazungu??? No wonder alisema waliompita ni Mungu na Mzungu!
Kuna ma TOs wan nguvu wengi sana na walifaulu vizuri sana na wapo wanatumika sehemu nzuri sana! Unamjua Lusekeli?? Emil Patrick? Ma wengine wengi tu ni ma...
Unadhani baba yako angekuwepo hai alafu ukampatia taarifa kuwa umemuona jambazi huyo angefanya nn? At the end of the day ange-smile tu na kusema “aaah, yalishapita hayo mwanangu kumbe, bado yupo hai?”
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.