Mpaka sasa Rais Samia anafanya vizuri katika sekta ambazo zinawagusa watu wengi, sekta kama ya kilimo, elimu na afya ni sekta muhimu na zinahudumia Watanzania wengi. Kwa kuonyesha kujali na kuwapenda watu anaowaongoza, Rais Samia baada ya kuapishwa aliamua kukazia fikra sekta hizo ili kuboresha...
Kwa inavyo onekana umeelewa swali ila huna majibu ya kujitosheleza ndio maana unajitikita katika kutengeneza maswali unayotaka. Ulipaswa kueleza ni kwanamna gani ya sasa inasababisha gharama za maisha kama unaona swali lilipaswa kuulizwa hivyo kisha ueleze ni kwa namna gani mpya itatatua hizo...
Nacho kiona kwenye hizi harakati za katiba mpya, ni maswala ya madaraka tu. Kwamba wapinzani wameshagundua hawawezi kushika dola kama katiba itaendelea kua hii, hivyo wanajaribu kahakikisha tunaichukia hii katiba tuliyo nayo ili tupate hiyo nyingine itakayo wapa wao mwanya wa kupenya kwenye...
Mimi nimeishia darasa la saba, na hili swala silielewi ndio maana nimeuliza. Mimi ni Mtanzania na naishi hapa hapa nchini. Bei za vyakula imepanda ila nashindwa kuelewa ni kwanamna gani katiba niliyo nayo sasa inaweza kusababisha mambo hayo, kiasi kwamba tukiwa na katiba mpya tutakua na unafuu...
Kumekuwa na hoja kutoka siasa za upinzani, wakidai kwamba kuna uwezekano wa bei za vyakula kushuka iwapo tu tungekuwa na Katiba Mpya.
Hii ni hoja inayowavutia sana wananchi ila hakuna hata kiongozi mmoja wa upinzani aliewahi kueleza ni kwa jinsi gani jambo hili linawezekana.
Tafadhali kama...
Utachelewa sana kuelewa, tafuta mdogo wako au mtoto wa jirani anaesoma sekondari akufundishe.
Muombe akufafanulie uhusiano kati ya maendeleo ya nchi na uhusika wa Rais katika maendeleo hayo.
Baada ya mateso ya muda mrefu kwa wananchi wa Mtwara na Mnivita kutokana na changamoto ya ubovu wa barabara, serikali sikivu ya Dkt. Samia Suluhu Hassani imetatua changamoto hiyo kwa kamilisha ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 50km kwa kiwango cha lami.
Lengo la serikali ni...
Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Mikumi, Bakari Hasani amekihama chama hicho na kujiunga na CCM na kusema ameridhika na kazi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan na ameamua kumuunga mkono.
Rais Samia anaupiga mwingi sana. #mamayukokazini #mamaanafanikisha #kaziiendelee
Mkoa wa Morogoro umepatiwa bilioni 16 kwa ajili ya kuimarisha miundombinu ya umwagiliaji na ya kuhifadhi mazao. Hii itasaidia kukuza shughuli za kilimo mkoani humo na kuongeza uhakika wa upatikanaji wa chakula. Lengo la Serikali ni kuhakikisha upatikanaji wa chakula cha kutosha katika kipindi...
Rais Samia ameboresha sana sekta ya elimu, tunaimani atatubadilishia mfumo wetu wa elimu ili kuendana na mahitaji ya ulimwengu wa sasa. Pia nampongeza kwa nia yake ya kutaka kurudisha mchakato wa katiba mpya, Mh. Dkt Samia Suluhu ni kiongozi mwenye mitazamo chanya sana bila kujali itakadi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.