yaani hapo iko ivi 'maziwa yapo kidogo watu ni weng il maziwa yatoshe 2natia maj' ndo kitu serkal imefanya. Kwamba serkal yenyewe inaangalia quantity sio quality. Nashindwa hata kuiilewa hii serkal yetu nafkr kuna haja yakua na viongoz wenye upana wa fikra sio sample hii
kulingana na lugha yake mh kagashek anapeleka tuhuma hzo moja kwa moja kwa usalama wa taifa. Maji shingon wao kwa wao wanalaumiana.,...hebu kwanza.... Waiter.... Kinana ya moto tafadhal aka NDOVU.
haya magamba noma sana. Madin haya faida kwa watz, sato hatuelew zinakopelekwa wakati watoto wadogo wankufa kwa utapiamlo, afu barabara 2najengewa kwa mikopo afu bado elimu kwa watanzania inashuka siku had siku. Afu bado na tembo wetu nao mnachukua. Nyie watu wa ajabu sana!
haya magamba noma sana. Madin haya faida kwa watz, sato hatuelew zinakopelekwa wakati watoto wadogo wankufa kwa utapiamlo, afa barabara 2najengewa kwa mikopo afu bado elimu kwa watanzania inashuka siku had siku. Afu bado na tembo wev nao mnachukua. Nyif watu wa ajabu sana!
CHADEMA ni nguvu ya umma. CCM mnaweza kushindana na umma wa watanzania? Achen propaganda fanyen kaz watanzania twashwawajua nyie ni waongo, mafisad, majangili kila kukcha mnapanga kuiba raslmal na kukandamiza haki za wanyonge. Acheni kuichafua CHADEMA .kwan mchezo wenu ushajulikana na watanzania...
jibu kwa hoja jamaa yangu mipasho is nonsense. Mtoa mada kazungumza kitu cha msingi sio kwa maslah ya wana jf tu ila taifa kwa ujumla na ususani vijana kwan ukomboz wa taifa letu ni kazi yetu vijana hatupaswi kuwa wafuac au washabk wa vyama tu bla sababu ya msing lazma utumie akil yako na uwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.