Recent content by Potent

  1. P

    Kulikoni Mbona Kampeni za mwaka huu zimedoda sana

    Fanya 200%itapendeza.
  2. P

    PreGE2025 Tanzania itakuwa imeingia kwenye mzozo mbaya wa kidiplomasia na nchi za Afrika Mashariki

    Nimesikia mara nyingi hapa Tz watu wakijitambulisha eti Wana PhD za mahusiano ya kimataifa,yanatusaidiaje sasa ikiwa kila kona tunatukanwa ebu msaidieni mama Hali si shwari.
  3. P

    Natabiri hili kutokea kwenye mikutano ya CHAUMMA

    Hata kama ukiwachukua wauza butcher uwavalishe lishe Makoti meupe na stethoscope shingoni maadamu wamo buchani ni mpumbavu peke yake ataamini hao ni madaktari.
  4. P

    CHAUMMA kimepata umaarufu ghafla

    Umaarufu una pande mbili mtu akizaliwa anapata umaarufu, hongera nyingi na majina mapya,akifa umaarufu unaongezeka pole ni nyingi na rambirambi za kutosha,mzoga ukianza kuonza umaarufu unaongezeka,inzi,funza,fisi wote wanaupa umaarufu mzoga,itazame CHAUMMA na umaarufu wake utaelewa ninachomaanisha.
  5. P

    PreGE2025 Kada wa CHADEMA Elia Evarist: Toyota anayoendesha Heche amenunuliwa na kada wa CCM. Kadi ya hiyo gari inasoma jina la mke wa Waziri

    Mtu mmoja aliwahi kuimba,Banza stone majungu si mtaji,na kama unaona Elimu ni gharama jaribu ujinga.Huyu kijana kachagua ujinga. mm
  6. P

    Enyi Kanisan Katoliki,Dini ilikuapo kabla ya Serikali , hiyo michango na Pesa za CCM mnazozipokea, ndizo zinawafanya Watawala kuwadharau!!.Zikataeni

    Sio Waroma TU hata madhehebu mengine, hujaona Chalamila akipeleka mzigo wa bahasha kwa Mwamposa akihamasisha wajinga wengine wamuunge mkono.Mpaka Leo huyo Nabii wao hajawahi kusema chochote juu wanao umizwa,haya Manabii mbele kwa mbele mkaiombee SIMBA akamtoe RS-BERKANE.
  7. P

    Nguvu ya intelijensia ya Kanisa Katoliki(Roman Catholic Church)Je Ni Tishio kwa "Regime"

    Unasema Dp world waliipinga na ipo hapa,ila unasahau kwamba baada ya ule walaka bibi mwenye nyumba alienda kunegotiate Pope na mambo yakakaa sawa.
  8. P

    Hii TUCTA au kamati ya mapambio??

    Nchi inayozalisha mapooza kwa Kasi.
  9. P

    Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya

    Utetezi kwa magufuli haujitoshelezi,ikiwa alikuwa dhamira ya kupambana na ufisadi Iko wapi Ile mahakama ya wahujumu uchumi aliyoiahidi,mbona report ya CAG Asad ya upotevu wa tirrion 1.5 aliitupilia mbali na kumtimua kazi.Hayo madege ya Air Tanzania nani anajua yalinunuliwa kupitia zabuni ipi...
  10. P

    Sikiliza kisa hiki cha Mtoto mchanga wa siku tatu Police wambeba kwa mahojiano inasemekana Kamtaja Samia..

    Hii nchi ina maswahib mengi,ukiota ndoto tabu, mtoto mdogo akiongea tabu,ukichora picha tabu,ukichoma nguo yenye chawa tabu,ukienda mahakamani tabu,Mungu tusaidie.
  11. P

    Wahaya hawastahili kupewa madaraka makubwa

    Huwezi kulaumiwa umetujulisha kiwango cha uwezo wa akili yako kupambanua mambo.
  12. P

    PreGE2025 Joseph Butiku: Naunga mkono mazungumzo ya Reforms. Kuna rushwa, kuiba kura na Polisi kutumika vibaya

    Huyu busiku naye ni mhaini eti alipewa maagizo batili anaacha kazi ya uaskari aende kulima,huyu aende Ukonga hakuna namna.Zamu wahaini ni wengi TU.
  13. P

    Watu 10 wenye mchango mkubwa sana katika nchi hii. Mtazamo wangu

    Ongezea Ambilikile Mwaisapile a.k.a Babu,Mzee wa Loliondo.
Back
Top Bottom