Recent content by positive attitude

  1. P

    Ni Aibu kuwa na Waziri kama Membe Wizara ya Mambo ya Nje

    Membe endelea kuhangaika tu. Tunajua hata leo umewakusanya vijana 30 pale kigamboni ili uwapatie semina wakakutangaze wewe na kumchafua Lowasa! Ila mpaka hapo umechemka hatukutaki na wala hufai kuwa rais hata kidogo.
  2. P

    Vita kati ya Malecela na Lowassa ni ya muda mrefu. Hii hapa ndiyo siri ya utajiri wa Lowassa

    Lowasa umewafundisha watendaji wote wanaofanya madili ya siri! Nadhani toka hapo malechela na wanaofanana nae wamepata somo! Unafaa kuwa TOP wetu!
  3. P

    Vita kati ya Malecela na Lowassa ni ya muda mrefu. Hii hapa ndiyo siri ya utajiri wa Lowassa

    Lowasa uko juu na nimekupenda kwa kumfundisha somo malechela! Unafaa kuwa Rais wetu!
  4. P

    CCM kubaki madarakani, lazima umri wa mpiga kura uongezwe kuwa miaka 50+

    Uwezo mdogo wa kufikiri ndio unawasumbua cdm! Wamesahau wanatakiwa kufikiri kabla ya kutenda!
  5. P

    CCM kubaki madarakani, lazima umri wa mpiga kura uongezwe kuwa miaka 50+

    Hakuna mpinzani wa ccm kwa hao wapinzani! Na ccm itadumu!
  6. P

    CCM kubaki madarakani, lazima umri wa mpiga kura uongezwe kuwa miaka 50+

    Nadhani uko kwenye kina cha maji yanayokufurika ndugu yangu! Ccm itakaa na kudumu na unajua ni kwa nin? Kwa sababu viongozi wake sio waloho wa madaraka! Ila nyie wapinzani? Mhhhhhh!
  7. P

    Hivi Ndoto za Lowassa anazotaka zitimiza CCM wanazijua...?Hii ndio demokrasia ya CCM?

    Hiyo inaonyesha dhahiri kuwa Lowasa ni kiongozi mwenye hekima na anaekubalika na wengi! Wivu na tamaa za watu wachache walipanga kumharibia lakini wameshindwa!
  8. P

    Katiba ya CCM hairuhusu Mwanachama kugombea uenyejiti wa Taifa

    Nyie achen majungu chama chenyewe kimeanza juzi miaka ya tisini tu hapo mmeshasimamisha wenyeviti watatu? Ama kweli uchu wa madaraka cdm!
  9. P

    Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

    Wapi wewe wakati hapo mlipo CDM iko ICU mnapumulia mashine. Muda si mrefu mtatutoka coz samaki mmoja akioza wote wameoza.
  10. P

    Wanachama 12 wa CHADEMA Mbeya Mjini kutimuliwa leo

    Ukiona hivyo jua cdm kwisha habari yake!
  11. P

    Wanachama 12 wa CHADEMA Mbeya Mjini kutimuliwa leo

    Cdm kulikoni? Naona kifo cha mende kimewakaribia sana ndo maana mko chali mnagalagala! LOWASA tu akitajwa cdm wote wamelazwa hoi.
  12. P

    Wanachama 12 wa CHADEMA Mbeya Mjini kutimuliwa leo

    Cdm mmedoda! Siku zote mfa maji haachi kutapatapa.
  13. P

    Wanachama 12 wa CHADEMA Mbeya Mjini kutimuliwa leo

    Mmefulia cdm. LOWASA yuko vizuri! Ndio maana mnatetemeka.
  14. P

    Tetesi: Malengo ya Lowassa 2015 haya hapa!

    Fisadi mmemkumbatia halafu mnatuzuzua kwa uongo wenu eti LOWASA fisadi! Nyie majambazi msitudanganye! LOWASA HAJATUIBIA CHOCHOTE! Mnafikiri hatujui kama mlimtoa ili mpate kuiba?
  15. P

    Tetesi: Malengo ya Lowassa 2015 haya hapa!

    Ninamini hata baba wa Taifa angalikuwepo angempa LOWASA nchi na sio huyo mwizi wa mke wa mtu. Kama kaweza kuiba mpaka mke wa mtu ameiba kias gani? Au kwa sababu hatumuon akiiba? Huyo ndo jambazi hatari sana! LOWASA TU 2015!
Back
Top Bottom