Yanga amefanikiwa wapi? Usitulazimishe kuishabikia wala kuiombea mazuri wao ndo walianza chuki kwa kuona Simba inaenda kufanikiwa, Kila mtu aangalie zake, ni sawa na kuwalazimisha Barcelona wapende mafanikio ya Real Madrid never haitatokea, Zamalek apende mafanikio ya Al Ahli sahau, umeandika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.