Dodoma.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye amelieleza Bunge leo Jumanne Mei 14, 2019 kuwa kituo cha televisheni cha Azam jana Jumatatu kimepokea leseni ya kuonyesha chaneli za ndani bure.
Pia, Nditiye amesema katika kipindi cha miezi saba watajenga mfumo wa...
Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amemshauri Rais John Magufuli atakapokwenda Mbeya kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma kwa sababu miaka yake minne hajawahi kuongeza hata kidogo.
Mbilinyi alitoa kauli hiyo jana...
Taarifa kutoka nchini humo zinaeleza kuwa Jeshi la nchi hiyo limemuondoa madarakani Raisi Omari Albashiri, kufuatia maandamano yaliyodumu kwa Siku kadhaa nchini humo.
Bashiri ambaye yupo madarakani toka 1989 tayari yuko chini ya ulinzi mkali ktk Ikulu ya nchi hiyo akiwa ameunganishwa na kundi...
Mimi leo naomba wanajamvi munifafanulie mamlaka ya Afisa Tarafa Kikatiba au kwa mujibu wa katiba, napenda kujua kwasababu ktk zunguka yangu Mimi kama Mimi nimeshindwa kuwaelewa kabisa.
Sababu ni kwamba baadhi yao wamekuwa hawayajui kabisa mamlaka yao na HIVYO kujikuta wakidili na majukumu hadi...
Mimi leo naomba wanajamvi munifafanulie mamlaka ya Afisa Tarafa Kikatiba au kwa mujibu wa katiba, napenda kujua kwasababu ktk zunguka yangu Mimi kama Mimi nimeshindwa kuwaelewa kabisa.
Sababu ni kwamba baadhi yao wamekuwa hawayajui kabisa mamlaka yao na HIVYO kujikuta wakidili na majukumu hadi...
Si
soma ufafanuzi hapo juu....hata Mimi nimeamua nimuulize mtendaji, kuombwa na kutoa ni jambo lingine, na matumizi Wakati mwingine hubadilishwa bila idhini ya mtoaji...hivyo ndio maana umeona Mh, mbunge aliandika kile alichoombewa.
Mifuko 5, ilitumika kukarabati Ukuta Wa Darasa la 3 Darasa lipo mwanzo ukitokea ofisi za kijiji Madala, Mifuko 5 vyoo vya wanafunzi na Mifuko 10 inasubiri Ujenzi wa Jiko la Nyumba ya Walimu Mwakani.
Pale madala shule ya Msingi, kuna Kitu kama Jiko,la Nyumba ya walimu kinajengwa, ila walivyokea sementi waliamua kwanza kukarabati ukuta Wa moja ya darasa lililokuwa na hali mbaya
Ata Mimi huwa namuulizaga Mara kwa Mara na kumpigia simu, kama kuna jambo, anafikisha muda huo huo. Kimsingi hawa jamaa wamejitahid kujipambanua....Ni miongo mingi, hili jimbo lilikoza uwazi, ila taarifa yao, inatoa matumaini kwakweli.
Mimi Mara nyingi nawafuatilia kwenye ukurasa wao Wa Facebook...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.