Recent content by Pongwe poultry Farm

  1. P

    Pata vifaranga vya kuku aina tofauti kwa bei rahisi

    Kwa anayeitaji tuwasiliane kwa number 0762355114. Hiyo ni bei ya atakayekuja chukulia mzigo Tanga. Kwa wale wa mikoani tunasafirisha kwa kushea bei za usafiri. Hapo kwenye Kanga tsh 3000 ni kifaranga cha kati ya wiki moja mpaka mbili.
  2. P

    Pata vifaranga vya kuku aina tofauti kwa bei rahisi

    Kanga 3000 mkubwa bata mzinga 10,000 vifaranga
  3. P

    Pata vifaranga vya kuku aina tofauti kwa bei rahisi

    Pongwe Poultry Farm inakuletea punguzo bei kwa vifaranga vya kuku wafuatao. 1. Kuroila 2. Kenbro 3. Kienyeji Vifaranga tajwa hapo juu tunauza Tsh 2,000. kwa kifaranga cha siku moja. Vile vile tunauza vifaranga vya 1. Bata bukini 2. Bata Mzinga 3. Bata Maji 4. Kanga pamoja na 5.Kuchi...
  4. P

    Hawa ndo Kuku wa Malawi

    Mkubwa kama unataka vifaranga tuwasiliane. Mim niko Tanga nauza vifaranga vya kuku wafuatao 1:kuroila 2:kenbo 3:kienyeji na 4: Kuchi Kuroila, kenbro na kienyeji bei ya kifaranga cha Siku moja ni tsh 2,000 tu. Usafiri unajitegemea
  5. P

    Kuku wa kienyeji niwapateje?

    Mkubwa kigoma mbali sana ungekuja karibu mimi niko Tanga mjini ningekupatia vifaranga. 1: nauza vifaranga vya kuku wa kienyeji 2: Kenbro 3: Kuroila na 4: Kuchi Kuroila, kenbro na kienyeji bei ni 2,000 kifaranga cha siku moja Bila usafiri. Usafiri unajitegemea mwenyewe. Number za...
  6. P

    Magufuli ni Rais bora wa pili tangu tupate uhuru

    tusubiri amamalize muda wake then ndo tujudge
Back
Top Bottom