I disagree with you bro,humetoa mfano Microsoft that private company or Toyota hizo ni kmpuni binafsi hazi hendeshwi na serikali ya Marekani au serikali za Kijapani.Director au management wanakuwa share holder or owner or partnership nd'o maana wanakuwa na mishahara mkubwa na kazi wanafanya...
True bro hahiwezekani kabisa na ni wafanyakazi wa serikali.Kwa kampuni za watu binafsi kuilipa hivyo ni sawa siyo kwa serikali maskini kama Tanzania something wrong
Zanzibar hinaserikali yake na mahamuzi yake,Kuna bunge la Zanzibar,mawaziri wake,wabunge wake.
SErikali ya Tanzania bara walichofanya ktk uchaguzi Zanzibar ni kuhakikisha kunakuwa na usalama wakati wakirudia uchaguzi.
Kwanza nchi za Ulaya ya magharabi Zina shida na economic kwa sasa ,watu wengi...
Ni Wakati humefika kuachana na misaada ya nje hasa western country zinakuwa na masharti kwa ajili ya faida zao wenyewe
Wafrica mnatakiwa Kuwa na umoja kama vile nchi za Ulaya ,magharibi .Mpaka hapo wafrica WAKIWA na umoja wenye nguvu
Siyo kama sasa.Hapo mtaweza hatuitaji misaada yenye...
C'mon people 3000 $ only????? Hawana hata haibu na bado wanataka Kuwa na ubishi na serikali Kweli wameona Tanzania ni malofa.
Litaendeshwa na serikali pekee yake 110% Hawa nd'o wanarudisha maendeleo ya watanzania nyuma kwa ajili ya ubinafsi $3000 Only ? Hata kipo hanashutuka!!mmmmm
Kulikuwa Kuna mpelelezi mkuu wa Kilimanjaro hanaitwa Joakim (hali Kuwa ni mmbulu)Halikmesha Moshi kina kadogo, Sambeke,Hellija jamaa wengine hili bidi watu wa kimbiye Moshi,HAPAna mchezo hukitumia Silaa your dead man .HaliKuwa single handed hakuna haja ya kupelekana mahakamani ,he shoot on the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.