Recent content by polokwane

  1. polokwane

    JamiiForums Tanzania Lissu, alikuwa hajui kuwa anacheza na moto akili itakaa sawa

    Moto gani khuma nyie mnatumia vyombo vya dola kwa maslahi yenu binafsi na wala si maslahi ya wananchi wala taifa?
  2. polokwane

    JamiiForums Tanzania Heche, Lema wakutanishwa kuyajenga

    CHADEMA ya sasa haibenwi na mtu
  3. polokwane

    JamiiForums Tanzania Heche, Lema wakutanishwa kuyajenga

    Mchaga keshakula pesa za watu huyo hana namna ataanzisha tena vagi maana pesa zitammaliza
  4. polokwane

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi Mkoa Simiyu kufanya uchunguzi kuhusu picha mjingea inayosambaa mitandaoni

    Hakuna jeshi la polisi chini ya wambura vali kuna genge la wahuni
  5. polokwane

    JamiiForums Tanzania Kesho Lema anaenda kujimaliza kisiasa na press yake kama anajiona anaukubwa huo nje ya Chadema kesho ndo utakua mwisho wake

    Mwizi na mbinafsi na mtu mwenye tamaa ni lazima atajwe tajwe kwa sababu tabia zake zinaumiza wengine hivyo hawezi kuachwa kuzungumziwa
  6. polokwane

    JamiiForums Tanzania Lema kuongea na vyombo vya habari kesho

    Sidhani kama lema ni mkubwa kulicho Dr.slaa na zitto kwa zama zake, lakini stilĺ CHADEMA Ipo strong sana
  7. polokwane

    JamiiForums Tanzania Kesho Lema anaenda kujimaliza kisiasa na press yake kama anajiona anaukubwa huo nje ya Chadema kesho ndo utakua mwisho wake

    Mafala wengi sana msijitukuze wenyewe sisi tulio nje ndio mtuache tuwape ukubwa kama mnao, wachaga tamaa , ushamba na ulimbukeni ndilo tatizo lenu kubwa hamna lolote ndio maana pale kariakoo wakinga na waha wamewakaba koo haswaa
  8. polokwane

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton: Kuna connection gani Kati ya Mawakili wa Serikali na Mhe. Lema?

    Matako yako
  9. polokwane

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki lisiogope kumtafuta Emmanuel Nchimbi. Kwa hadhi ya Nchimbi sio ya kuacha apotezwe

    Sasa kanisa limtafute nchimbi kama nani kwao?
  10. polokwane

    JamiiForums Tanzania Taarifa za Heche za Benki ya CRDB zaonyeshwa hadharani Mahakamani na Wakili wa Serikali bila idhini ya mwenye Akaunti

    Taarifa yeyote ikihitajika mahakamani inatolewa, elewa hilo
  11. polokwane

    JamiiForums Tanzania Lema: Nimeona sintofahamu mtandaoni baada ya pole kwa Mama Samia. Tunaodai kupigania uhuru wa maoni na demokrasia, hili linapaswa kutufikirisha

    "Chama chenu kimegharimu maisha ya vijana wengi sana kupitia siasa za janja janja,huu si wakati wake tena watu wanataka mabadiliko ya kweli" hii statement inaumiza sana
  12. polokwane

    JamiiForums Tanzania Lema: Nimeona sintofahamu mtandaoni baada ya pole kwa Mama Samia. Tunaodai kupigania uhuru wa maoni na demokrasia, hili linapaswa kutufikirisha

    Una nawazi ya kikhuma sana mpigania haki pilepole na nchimbi mtuambie wapi wapi
  13. polokwane

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo alikua wapi enzi za Magufuli?

    Ametumia uthaifu wa mamlaka kupitisha ajenda zake na kwa vile CCM yamejaa mang'ombe hayaelewi chochote
  14. polokwane

    JamiiForums Tanzania Jamii inapaswa kutambua kuwa, Kumshambulia Askari akiwa katika majukumu yake ikithibitika, Mahakama inaweza kukufunga MIAKA 5 JELA

    Kuna wakati uninadamubwa asili huwa haujali sare, liwalo na liwe, kuzaliwa maramoja na kufa ni mara moja
Back
Top Bottom