Recent content by polokwane

  1. polokwane

    Bariadi: Wanafunzi wavunja masomo na kuzuia Msafara wa Mbowe, wampigia Saluti

    Unaweza dhani umefanya vizuri kumbe umeharibu ajira za watu hapo, hatujafikia democrasia ya hivyo bongo land.
  2. polokwane

    Hayati Magufuli alichukizwa sana na waliotaka abadili katiba ajiongezee muda ndio maana Ally Kessy hakurudi Bungeni

    Aipenda sana iwe hivyo ila alizuga baada ya kuona anaonekana kiumbe wa ajabu tanzania. Na wakubwa zake kumheuka kabisa kuhusu hilo
  3. polokwane

    Wanaume mna roho mbaya ndiyo maana mnakufa mapema

    Na wanawake walio kufa mapema hao wana roho gani?
  4. polokwane

    Niliyoyashuhudia Jeshini

    Kama umesoma vizuri mtiririko wake wa story ungekuwa umesha gundua kuwa huyu ni mdada na sio mkaka
  5. polokwane

    Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

    Mnazingatia sana ukatili wa kimwili ila ukatili wa kisaikolojia alio fanyiwa huyo mume huwa mnajifanya hamuuoni.
  6. polokwane

    Mwenye kuzielewa Submeter za Umeme aje hapa

    Lazima hapo kuwe na mbabe mmoja a kusimamia utaratibu maana vinginevyo mtu kisub meter chake kikikata anaenda kuchungulia kwenye main meter anakuta bado panapumua kama unit 40 hivi 😂😂😂ana wahi kwenye ki sub meter chake anaandika 7 ili avute vute kidogo apate ya kununulia wa kwake 😂😂😂😂 TANESCO...
  7. polokwane

    Mwenye kuzielewa Submeter za Umeme aje hapa

    Yaan kama kuna mtu hajakuelewa hadi hapa basi ndio hao wanao pata division 5 ,😂😂😂
  8. polokwane

    Mkurugenzi wa LATRA anapata wapi nguvu ya kupingana na Rais? Serikali inakataza kufunga biashara, yeye anafungia mabasi 35 yasitoe huduma

    Kwani kuajiri watanzania ndio kinakuwa kigezo cha kuvunja sheria na kudharau mamlaka? Kama ndivyo basi nitaajir watanzania kwenye ofisi yangu ya kuuza pembe za ndovu , madawa ya kulevya na bangi.
  9. polokwane

    PreGE2025 Dkt. Biteko: Kule Bukombe tuliwahi kuchagua Wapinzani tunaelewa madhara yake, nawasihi wananchi wote chagueni CCM

    Hiii nchi bado ina ujinga mkubwa sana kuanzia kwa viongozi hadi wanachi wake , ikiwa kodi unakusanya kwa wananchi wote kwanini linapo kuja swala la maendeleo wale wenye viongozi wa upinzani wanaadhibiwa kwa kuto pelekewa maendele utadhani sio walipa kodi? Kuna barabara ya mtaa bunda waligoma...
  10. polokwane

    Chimbo gani naweza kupata bodi za gari ndogo kama Runx na IST?

    Gari za dar bwana pasua kichwa sana yaan bodi inachakaa vibaya Sana inalika na chumvi, ndio maana Mimi gari za mkononi huwa nachukua Dodoma, mwanza na Arusha gari dar sizitaki kabisa.
  11. polokwane

    Nataka gari kati ya hizi mbili

    Hawa hawakawii kuwambia gari ilikuwa unaendeshwa na mdada kutoka mbezi to posta kazini na kupaki , kumbe jamaa alikuwa anashinda nayo milimani huko upareni imeletwa dar kuuzwa tu 😂😂😂😂
  12. polokwane

    Kuna gharama ya kutembelea gari ya yenye usajili wa Tanzania Bara-Zanzibar?

    Tanzani nchi imejaa wahuni hii unadhani mtaruhusiwa kiholela tuu kwenye nchi zingine na wizi huu
  13. polokwane

    Wakatoliki mliokwazika na tamko la Papa jiungeni na kanisa aliloanzisha Padre Martin Luther la Lutheran msikae bila kusali

    Hivi Utaratibu WA kupigana na kuwaua wasio waislam! 😜😜😜 na Imani za kishirikina na majini , ugaidi na ushenzi mwingine , HIVI unakuaje mfuasi WA MTU aliyekufa ? Huonni kuna tatizo hapo ndio maana katika uislam kuna ushirikina na mapepo.
  14. polokwane

    Nataka kuingia Kariakoo kibiashara

    Anakuja mteha mmoja tuu anafunga mzigo woote akauze mkoani
Back
Top Bottom