Lazima hapo kuwe na mbabe mmoja a kusimamia utaratibu maana vinginevyo mtu kisub meter chake kikikata anaenda kuchungulia kwenye main meter anakuta bado panapumua kama unit 40 hivi 😂😂😂ana wahi kwenye ki sub meter chake anaandika 7 ili avute vute kidogo apate ya kununulia wa kwake 😂😂😂😂 TANESCO...
Kwani kuajiri watanzania ndio kinakuwa kigezo cha kuvunja sheria na kudharau mamlaka? Kama ndivyo basi nitaajir watanzania kwenye ofisi yangu ya kuuza pembe za ndovu , madawa ya kulevya na bangi.
Hiii nchi bado ina ujinga mkubwa sana kuanzia kwa viongozi hadi wanachi wake , ikiwa kodi unakusanya kwa wananchi wote kwanini linapo kuja swala la maendeleo wale wenye viongozi wa upinzani wanaadhibiwa kwa kuto pelekewa maendele utadhani sio walipa kodi?
Kuna barabara ya mtaa bunda waligoma...
Gari za dar bwana pasua kichwa sana yaan bodi inachakaa vibaya Sana inalika na chumvi, ndio maana Mimi gari za mkononi huwa nachukua Dodoma, mwanza na Arusha gari dar sizitaki kabisa.
Hawa hawakawii kuwambia gari ilikuwa unaendeshwa na mdada kutoka mbezi to posta kazini na kupaki , kumbe jamaa alikuwa anashinda nayo milimani huko upareni imeletwa dar kuuzwa tu 😂😂😂😂
Hivi
Utaratibu WA kupigana na kuwaua wasio waislam! 😜😜😜 na Imani za kishirikina na majini , ugaidi na ushenzi mwingine ,
HIVI unakuaje mfuasi WA MTU aliyekufa ? Huonni kuna tatizo hapo ndio maana katika uislam kuna ushirikina na mapepo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.