Speedaf mara nyingi anasafirisha parcel ndogo ndogo na hasa zilizo chini ya 4kg na ndio maana bidhaa yeyote ukisha ona shipping agent ni "Aliexpress standard shipping" ujue hiyo parcel itasafirishwa na speedaf na huwa zinafika mapema sana na baadhi huwa ni free shipping.
Mpuuzi wewe eti uzoefu miaka 10 nao ni wakuniringishia, nimeanza kuagiza parcel ebay,amazon nk kambla hata hujazaliwa wewe, wewe unaongelea miaka 10 hiyo ya aliexpress na hao kikuu wenu wa vitu feki na matoys,
Posta hawana uhakika kwenye parcels mizigo mingi hasa midogo midogo inapotea sana...
Muda wote anadhani yupo kwenye kampeni huyu jamaa kichwa box kabisa, hawa wanao jiita usalama wa taifa eti ndio wana fanya vetting ya viongozi nao wanatakiwa kufanyiwa vetting maana wanaleta wajinga kwenye madaraka
kati ya watu wenye upeo mdogo sana halafu wenyewe wanajiona na wanajiamini wapo vizuri ni mwigulu na makonda , yani hawa ni vilaza sana basi tu nchi imetekwa na wahuni ndio wanao tuamulia mambo
CHEDEMA ni chama huru kinapokea yeyote na anaondoka yeyote kikubwa ni kuwa makini kwenye kuwaweka hao wanao hisiwa mamluki kwenye uongozi wa ndani ya chama ,lakini kama mwanachama ametamani kurudi awe mwanachama tena wala hakuna kosa ila tu wasiaminiwe kwenye nafasi nyeti za chama
CHADEMA na viongozi wake watulize vichwa na wabadilike tena sana, wasiamini kwamba wanaungwa mkono na wavijana wahuni pekee watambue kuna watu wenye heshima na walio staharabika pia wanawaunga mkono kwa wingi kabisa hivyo wapunguze mambo ya kihuni na lugha za kihuni majukwaani .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.