Recent content by polokwane

  1. polokwane

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Speedaf mara nyingi anasafirisha parcel ndogo ndogo na hasa zilizo chini ya 4kg na ndio maana bidhaa yeyote ukisha ona shipping agent ni "Aliexpress standard shipping" ujue hiyo parcel itasafirishwa na speedaf na huwa zinafika mapema sana na baadhi huwa ni free shipping.
  2. polokwane

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Mpuuzi wewe eti uzoefu miaka 10 nao ni wakuniringishia, nimeanza kuagiza parcel ebay,amazon nk kambla hata hujazaliwa wewe, wewe unaongelea miaka 10 hiyo ya aliexpress na hao kikuu wenu wa vitu feki na matoys, Posta hawana uhakika kwenye parcels mizigo mingi hasa midogo midogo inapotea sana...
  3. polokwane

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi, Tumuoneeni huruma kiongozi wetu

    Huyo sio mtanganyika huyo
  4. polokwane

    JamiiForums Tanzania IGP wa Kenya: Askari Polisi tumieni akili, acheni matumizi ya nguvu kupita kiasi. Katiba inazuia

    Polisi wa Tanzania wanawekwa na wahuni kwa maslahi ya wahuni hivyo hawana haja na wananchi
  5. polokwane

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Ila mzigo ukipitia posta kuna mawili uupate au usiupate bora kutumia wakala wa alitexpress
  6. polokwane

    JamiiForums Tanzania Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo?

    Umewaza kama mimi hasa nikikumbuka ule mchezo wake wa kumtumia kwenye kampeni mtu waliye mmwagia tundikali wao wenyewe wenyewe
  7. polokwane

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wafikiria kuingia Msituni endapo Msajili wa vyama atakifuta

    Anaue chezea amani ni nani kati ya anaye teka na kuua wananchi wake kila siku na huyo anaye jiropokea tu na hana hata jiwe.
  8. polokwane

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Jifunze siasa itakusaidia kuelewa unacho uliza
  9. polokwane

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kwanini ananyamazia matukio ya Utekaji?

    Kwani wanao tekwa ni ndugu zake? Yeyeni mzanzibar watanganyika mnamuhusu nini hata mkifa sawa tu hana cha kupoteza
  10. polokwane

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Jifunze siasa, chama cha siasa hakikatai mwanachama hata angeondoka na kurudi mara 10 ila hawezi tena kuipata nafasi ile aliyo iacha
  11. polokwane

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Muda wote anadhani yupo kwenye kampeni huyu jamaa kichwa box kabisa, hawa wanao jiita usalama wa taifa eti ndio wana fanya vetting ya viongozi nao wanatakiwa kufanyiwa vetting maana wanaleta wajinga kwenye madaraka
  12. polokwane

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    kati ya watu wenye upeo mdogo sana halafu wenyewe wanajiona na wanajiamini wapo vizuri ni mwigulu na makonda , yani hawa ni vilaza sana basi tu nchi imetekwa na wahuni ndio wanao tuamulia mambo
  13. polokwane

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iwe makini na hawa vibaraka wa CCM wanaojirudisha kundini. Wataharibu sifa ya kuwa chama cha ukombozi

    CHEDEMA ni chama huru kinapokea yeyote na anaondoka yeyote kikubwa ni kuwa makini kwenye kuwaweka hao wanao hisiwa mamluki kwenye uongozi wa ndani ya chama ,lakini kama mwanachama ametamani kurudi awe mwanachama tena wala hakuna kosa ila tu wasiaminiwe kwenye nafasi nyeti za chama
  14. polokwane

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hatimaye CHADEMA yaanza kuwapandisha Majukwaani Waathirika wa Mauaji ya Oktoba 29 !!.

    Niwaombe CHADEMA acheni kutumia nyimbo za kikristo kwenye majukwaa maana mnatufanya tuhisi huenda ni Chama cha kiitikadi za kikristo Ni ushauri tu.
  15. polokwane

    JamiiForums Tanzania Arusha: Godbless Lema atangaza kuzindua Operesheni Popo Bawa

    CHADEMA na viongozi wake watulize vichwa na wabadilike tena sana, wasiamini kwamba wanaungwa mkono na wavijana wahuni pekee watambue kuna watu wenye heshima na walio staharabika pia wanawaunga mkono kwa wingi kabisa hivyo wapunguze mambo ya kihuni na lugha za kihuni majukwaani .
Back
Top Bottom