Ukimipa jibu gas ya mtwara inamnufaisha nani zaidi na mwanzo walisema itamnufaisha nani basi kwa hili la mafuta huna haja ya kupoteza muda wako kuwaamini hawa washenzi
Si kweli! Labda sugu wewe umemjua hivi juzi lakini kwa sisi tunaomfahamu tangu akiwa anaishi USA alisha kuwa na pesa ya kutosha tu kabla hata ya kuingia bungeni, ni familia iliyo kuwa inajiweza sana
Mkiambiwa mkasome muende shule muwe mnaenda kweli ona sasa hata hujui kama sheria za utumishi wa umma ni za kimataifa chini ya ILO na sio unajiamulia tu kama kunywa kangara, zimesha fanyika atempt nyingi kuhusu utumishi wa umma kabla ya hii iliyopo sasa huko nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.