Recent content by polokwane

  1. polokwane

    JamiiForums Tanzania Hongera Dr. Samia Suluhu Hassan kwa mkataba wa ujenzi wa Petroleum Refinary Tanga

    Ukimipa jibu gas ya mtwara inamnufaisha nani zaidi na mwanzo walisema itamnufaisha nani basi kwa hili la mafuta huna haja ya kupoteza muda wako kuwaamini hawa washenzi
  2. polokwane

    JamiiForums Tanzania Bilionea Joseph Mbilinyi (Sugu) azindua Bureau De Change ya Kisasa Jijini Dar es Salaam

    Si kweli! Labda sugu wewe umemjua hivi juzi lakini kwa sisi tunaomfahamu tangu akiwa anaishi USA alisha kuwa na pesa ya kutosha tu kabla hata ya kuingia bungeni, ni familia iliyo kuwa inajiweza sana
  3. polokwane

    JamiiForums Tanzania Si mnajimwambafy kuwa hii nchi ni ya kwenu. Fanyeni madhara yoyote kwa John Heche au Tundu Lissu halafu muone kitavyonuka

    Hao wanaweza kudhurika na hata wakitaka kuuliwa hadharani mbele yenu na mbele ya makamera na ninyi kama watanganyika hamna chochote cha kuwafanya.
  4. polokwane

    JamiiForums Tanzania Staafisha watumishi wenye miaka 45 na zaidi,halafu anzisha ajira za mikataba ya miaka mitano mitano!

    Mkiambiwa mkasome muende shule muwe mnaenda kweli ona sasa hata hujui kama sheria za utumishi wa umma ni za kimataifa chini ya ILO na sio unajiamulia tu kama kunywa kangara, zimesha fanyika atempt nyingi kuhusu utumishi wa umma kabla ya hii iliyopo sasa huko nyuma.
  5. polokwane

    JamiiForums Tanzania Samia/CCM hata mkimtoa Nchimbi aminini ya kwamba kuna mwingine mnaemuamini ni mwenzenu ataibuka

    Unajidanganya sana wewe huyo KJ mwenyewe amesha msaliti mchimbi na ndiye msuka mipango atolewe
  6. polokwane

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Uganda ndiyo suspect kwa kuleta wanajeshi wake nchini, namibia hawaaminiki maana rais wao ni pandikizi wa tanzania kwa hiyo hizo zote ni bangi tupu
  7. polokwane

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyepitisha Katiba ya Rais kuwekewa kinga?

    Nyerere na CCM yake halafu kuna wajinga fulan wanamuona nyerere kama mungu wao
  8. polokwane

    JamiiForums Tanzania Ulinzi uimarishwe Agosti 07, 2026 - Kuelekea Kutabaruku Kanisa Katoliki - Arusha

    Kwani si binadamu na anawez kubadilika dakika yeyote mbona mama kabadilika
  9. polokwane

    JamiiForums Tanzania Serikali imejipangaje kukabiliana Vita ya Wakulima na Wafugaji Mkoani Tanga?

    Wamasai ni wakorofi sana na hasa wakisha ona rushwa inapokelewa
  10. polokwane

    JamiiForums Tanzania John Heche: Nchi hii wananachi wanachukuliwa kama watumwa na watawala kama watwana au wamiliki wa watumwa

    Sorry! Nimekukosea sana sikulenga kukujibu wewe nilikosea ku quote. Bali nililenga kumjibu huyu mpuuzi hapa chini 👇
  11. polokwane

    JamiiForums Tanzania Tunahitaji mbinu mpya kutoka hapa tulipo, CCM siyo watu

    Kuna wabaguzi kama wazanzibar
  12. polokwane

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Rachel Dangwa hajulikani alipo

    Sema dola za kisenge senge kama Tanzania.
  13. polokwane

    JamiiForums Tanzania WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

    Malaya wa kiislam hao hawana akili wamekaa kidini
Back
Top Bottom