Recent content by political monger senior

  1. political monger senior

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    𝗦𝗲𝗵𝗲𝗺𝘂 𝘆𝗮 𝟯 𝘆𝗮 𝗦𝗮𝗳𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗧.𝗢 𝘄𝗮 𝟮𝟬𝟬𝟲, 𝗚𝗲𝗻𝗶𝘂𝘀 𝗘𝗻𝗴. 𝗘𝗟𝗜𝗔𝗦 𝗞𝗜𝗛𝗢𝗠𝗕𝗢 👇 Elias hakutaka kwenda chuo chochote kile na ndani ya Miaka hiyo mitatu baada ya kudisco chuo, yaani 2011, 2012 na 2013 alikuwa anazunguka shule mbalimbali za sekondari Tanzania kupiga mapindi ya Physics na Chemistry ,Japo Pure...
  2. political monger senior

    Mwananchi alia na kuzimia baada ya kubomolewa nyumba yake Mbagala

    😂😂😂 shetani kweli hana rafiki
  3. political monger senior

    Mwananchi alia na kuzimia baada ya kubomolewa nyumba yake Mbagala

    Jamaa anatia huruma sana ...amezimia na kadi ameishika mkononi
  4. political monger senior

    Mwananchi alia na kuzimia baada ya kubomolewa nyumba yake Mbagala

    Story ni kuwa kuna boss ameuziwa eneo la wananchi kinyemela
  5. political monger senior

    Mwananchi alia na kuzimia baada ya kubomolewa nyumba yake Mbagala

    Jinsi ilivyokuwa mpaka mwananchi kuzimia mbele ya mbunge baada ya kubomolewa nyumba yake katika manispaa ya Temeke Mbagala -Toangoma Mwananchi anaelezea alivyompigania mwenyekiti wake wa CCM kushinda uchaguzi lakini baadaye haoni utu wake mpaka nyumba yake imebomolewa..video ya tukio...
  6. political monger senior

    Marekani tayari imeshaanza kuishambulia Iran 🇮🇷 Ayatollah sasa Matatani!!!

    Hii taarifa ina ukakasi kila media za dunia zote nimefuatilia sijaona wakipost chochote
  7. political monger senior

    Mama Tibaijuka: Teoria ya vita vya kiuchumi” si chochote zaidi ya blanketi la propaganda lililotupwa kufunika janga la kisiasa la ndani

    Anaandika Propfesa Anna Tibaijuka Waraka wa mtandaoni unaosemekana kuandikwa na Prof. Anna Tibaijuka Hii “theoria ya vita vya kiuchumi” si chochote zaidi ya blanketi la propaganda lililotupwa kufunika janga la kisiasa la ndani. Ni kisingizio tu—hakuna zaidi. Tuwe wa wazi: Hakuna nguvu ya...
  8. political monger senior

    PostGE2025 Umuhimu wa amani na mshikamano

    Haki inapatikana kwenye maridhiano na kuliponya taifa
  9. political monger senior

    PostGE2025 Naomba niongee na vijana wa Tanzania, Gen-z

    Amna mtu anayeweza kurudisha uhai wa mtu mwingine lakini kuna njia ya kuponya na kufariji kwa yote yaliyotokea ..naomba tuchague njia hii kwa ajili ya kesho yetu vijana wenzangu
  10. political monger senior

    PostGE2025 Naomba niongee na vijana wa Tanzania, Gen-z

    Kipindi iki ndio kipindi tunachotakiwa kuonesha mshikamano kama taifa tumpe sapoti Rais samia kwenye maridhiano na amani ya nchi hii
  11. political monger senior

    PostGE2025 Naomba niongee na vijana wa Tanzania, Gen-z

    Nioo tayari kukosolewa ili kuijenga tanzania ile tuliyoachiwa na mwalimu nyerere tuitunze na kuthamini amani yetu
  12. political monger senior

    PostGE2025 Umuhimu wa amani na mshikamano

    Ndugu zangu vijana, Kama kizazi cha leo na kesho, tunabeba nguvu kubwa na nafasi ya kipekee katika kujenga taifa lenye maendeleo na ustawi. Lakini ili tufikie ndoto zetu na kuona taifa letu likisonga mbele, tunahitaji kitu kimoja muhimu sana—amani na mshikamano. Amani si jambo la kawaida; ni...
Back
Top Bottom