Recent content by political monger senior

  1. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Watu wa Kusini mwa Tanzania wako wapi kwenye hii nchi?

    Kila munu avena na kwao ..kusini for life till death
  2. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Israel ilivyomuokoa Trump mikononi mwa mahasimu wao wa Iran ambapo Trump alikuwa auwawe

    Uyu jamaa ana matatizo yani CIA wasijue ila mosad ndio wajue? Ivi unawajua CIA vizuri mzee au unawasikia?
  3. political monger senior

    JamiiForums Tanzania David Djumbe, msaidizi wa Tundu Lissu aongea mazito akiwa uhamishoni nje ya nchi 07 Agosti 2026

    Kenya wako strong kwenye intelligence kumbuka entire west inteligence wana vituo vyao kenya kuanzia CIA,MOSAD,MI6 na nyinginezo wapo kenya kabla ujafikiria kwenda kufanya utekaji au nia ovu tayari watakuwa na taarifa zako ..kumbukeni ya maria sarungi chap walivyomtoa kwenye mdomo wa mamba
  4. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Dr. El Zayed ashinda Michigan licha ya pro-Israel kumwaga Billion 200+ kwenye uchaguzi ghali zaidi katika historia ya Marekani

    Nimefuatilia mijadara uko michigan uyo jamaa anashinda asubuhi tu ..yani wanavyozidi kumshambulia ndio wanampiga teke chura kila mtu anashauku ya kuongozwa na muislamu baada ya kuona yale anayoyafanya mayor wa NY MAMDANI ..
  5. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Kuna nchi ambazo wasingewaza ata kumfuata mojawapo ni USA kwa mambo anayoyaongea Mange angekuwa nchi za kusadikika tayari walikuwa wameshamalzana nae kitambo sana..shida inakuja ni USA kumfanya chochote akiwa kule wanaweza kabisa tatizo linakuja ni lazima itajulikana na ikashajulikana moto ndio...
  6. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Watachunguza na watajua nani aliyesuka mpango wakishagundua kiama chako ndio kitafika uliyepanga uwo mpango
  7. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Kwa mange sahau ilo jambo never ata wahusika wenyewe wanalifahamu ilo yani umteke mtu kwenye ardhi ya USA unajitaka mzee na ata kama ukifanikiwa balaa utakalokuwa umelianzisha siyo la mchezo
  8. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Rachel Dangwa hajulikani alipo

    Kuna nchi za kukimbilia wanaharakati kama vile UK,CANADA NA USA uko wale wasiojulikana ata kuwaza kukupiga tu awawezi siyo kukuteka wala kukupoteza sababu wakifanya ivyo ndio itakuwa kiama chao wao na aliewatuma
  9. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Yusuf Makamba na January Makamba wanalambia wapi Asali kwa sasa? Mzee amekuwa kimya sana

    Mzee alikuwa na dharau yule dahhh nakumbuka aliojiwa kipindi kile mambo ya umeme kukatika akasema tushukuru ata kwa icho kidogo tunachopewa
  10. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Hekima iliyotumika kufuta kesi ya Mbowe, itumike kwa Lissu

    SIjawaigi kumkubali uyo mnyika yuko nyoronyoro sana
  11. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaiomba Marekani kuiondolea vikwazo vya Viza

    Serikali ya Tanzania imeiomba Marekani kuondoa vikwazo vya viza kwa Watanzania wanaosafiri kwenda nchini humo, pamoja na vikwazo vingine vya kiuchumi na kiusafiri vilivyowekwa dhidi ya Tanzania, ili kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na wananchi wa nchi hizo mbili. Ombi hilo limewasilishwa...
  12. political monger senior

    JamiiForums Tanzania John Heche: AFCON na FIFA waliitenga S.Africa sasa ni zamu ya Tanzania

    Mambo yanazidi kunoga
  13. political monger senior

    JamiiForums Tanzania John Heche: AFCON na FIFA waliitenga S.Africa sasa ni zamu ya Tanzania

    Serikali dhalimu inawakamata viongozi na wanachama wetu na kuwabambikizia kwa makusudi na kwa uongo kesi mbaya isiyo na dhamana ya ugaidi. Sisi tunahoji, mnajua madhara ya kusema kuna ugaidi kwenye Nchi? Kiuchumi kwa maana ya wawekezaji wenye mitaji mikubwa, Utalii na wageni wanaokuja Nchini...
  14. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Ishu za Madawa Tanzania mara 100 omba ukamatwe na polisi ila sio DCEA unapotea chap

    Kuna mmoja wao aliwaambia tukiacha izi hela wakuu wanachukua izi na hatupati ata mia wakaamua kujilipua apa bongo ukiona mpaka papa anadakwa ujue mfumo umemchoka nje na apo ata umkute na evidence anawaacha mapema kabisa mnaona
  15. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Ishu za Madawa Tanzania mara 100 omba ukamatwe na polisi ila sio DCEA unapotea chap

    Nina brother wangu JW yupo uko ..wale jamaa task force yao wamechanganya kila idara umo..kuna JW,TIS,POLISI na idara nyingine ..wakikubananisha uchomoki mzee wanakuwa wapo full details ..aliniadhitia kuwa kuna mission moja iyo ilikuwa ya kumchunguza PAPA na Taikon wa ngada mchezo umechezwa Papa...
Back
Top Bottom