𝗦𝗲𝗵𝗲𝗺𝘂 𝘆𝗮 𝟯 𝘆𝗮 𝗦𝗮𝗳𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗧.𝗢 𝘄𝗮 𝟮𝟬𝟬𝟲, 𝗚𝗲𝗻𝗶𝘂𝘀 𝗘𝗻𝗴. 𝗘𝗟𝗜𝗔𝗦 𝗞𝗜𝗛𝗢𝗠𝗕𝗢 👇
Elias hakutaka kwenda chuo chochote kile na ndani ya Miaka hiyo mitatu baada ya kudisco chuo, yaani 2011, 2012 na 2013 alikuwa anazunguka shule mbalimbali za sekondari Tanzania kupiga mapindi ya Physics na Chemistry ,Japo Pure...
Jinsi ilivyokuwa mpaka mwananchi kuzimia mbele ya mbunge baada ya kubomolewa nyumba yake katika manispaa ya Temeke Mbagala -Toangoma
Mwananchi anaelezea alivyompigania mwenyekiti wake wa CCM kushinda uchaguzi lakini baadaye haoni utu wake mpaka nyumba yake imebomolewa..video ya tukio...
Anaandika Propfesa Anna Tibaijuka
Waraka wa mtandaoni unaosemekana kuandikwa na Prof. Anna Tibaijuka
Hii “theoria ya vita vya kiuchumi” si chochote zaidi ya blanketi la propaganda lililotupwa kufunika janga la kisiasa la ndani. Ni kisingizio tu—hakuna zaidi.
Tuwe wa wazi:
Hakuna nguvu ya...
Amna mtu anayeweza kurudisha uhai wa mtu mwingine lakini kuna njia ya kuponya na kufariji kwa yote yaliyotokea ..naomba tuchague njia hii kwa ajili ya kesho yetu vijana wenzangu
Ndugu zangu vijana,
Kama kizazi cha leo na kesho, tunabeba nguvu kubwa na nafasi ya kipekee katika kujenga taifa lenye maendeleo na ustawi. Lakini ili tufikie ndoto zetu na kuona taifa letu likisonga mbele, tunahitaji kitu kimoja muhimu sana—amani na mshikamano.
Amani si jambo la kawaida; ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.