Ila watu wanaudhi jamniiiii..unaolewa lini? We inakuhusu nini jamni? Mara kuolewa ni heshima,kwa hiyo unataka nikaolewe hata na mwendawazim ili nipate hiyo heshima? Mara sijui umri unaendaa, kwani umri wangu mm ww unakusaidia nini? Au nikiolewa ntakuongezeaa nini? Yani ni kuingiliana kwenye...
Yani kweli watu bendera fata upepo, yaaani mnaumiiia mch msigwa kasema yake ya moyoni..., hakuna cha dharau wala nini hapo kma mtu anampenda zitto kuliko chama ni bora aendee tu..
Me naona kuwa na mtu akati unasubiri the ryt prsn ndo mpango mzima, chezea kuwa lonely ww..,kila ukipigia ur galz u wanna go out to ave fun wamebanwa n ma bf na male frnd hivyohivyo wapo na ma babe wao, utakaa utoe macho mpka ushangae kutoka peke ako uzushi so unaishia angalia movie mpka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.