Habari
Kwa kweli nmejaribu kuipitia hii Rasimu ya bunge la Sitta, sio siri kwa sasa sijielewi maana tumbo la uchungu kutoka moyon linaniuma sana, Wakat mwingine koo linapata hasira nabaki nikitweta mithili ya mtu alietoka kufanya mazoezi na pumzi imemkata.
Watanzania hii si sawa eti kisa...
Habari WANAJF
Hadi sasa kuna shule ya sekondari ya IKUYU MPWAPWA matokeo ya kidato cha pili bado hayajatoka. Ajabu ni kwamba matokeo ya form four yametangulia pia. Hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa na ofisa elimu(W) ya kumuwajibisha Mkuu wa shule. Watoto wanaendelea na masomo ya kidato cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.