Naomba msaada mtu yeyote ani inbox awe ananisaidia mambo mbali mbali, nipo busy kujaribu Ku apply kazi katika matangazo mbali mbali lakini nakutana na changamoto za Ku apply mtandaoni,hadi deadline inafika bado naangaika sifanikiwi.karibuni.
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Kwa wale kina Dada wanaopenda kubandika kucha mnatunzaje kucha zenu ili zisibanduke, maana kwa upande wangu napenda kubandika kucha, lakini napata changamoto katika kufua, kusugua sufuria etc au mnakuwa hamfanyi shughuli kama izo?
Maana kwenye kufua nguo siwezi kutakatisha nikihofia kucha...
Mwenye uzoefu na ili tangazo au mtu ambaye alishafanikisha na yupo ofisini naomba kujua kazi kubwa ni nini japo tangazo linajieleza ila bado sielewi vizuri.ukiajiliwa kwenye izi halmashauri unakuwa mtendaji wa kijiji kivipi? Vipi kuhusu kada yako ulosomea.tangazo linataka NTA level 5 vipi kama...
Unazan siwezi kuandika kuna msemo unasema akili za kwako changanya na mwingine naona kitu kitatoka kizur zaidi kuliko ukifanya mwenyewe.
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.
Yaani...
Naomba mni pm kwa yeyote ambaye anaweza nisaidia kuandika barua vizuri kabisa kwa Kiswahili fasaha na anaejua vitu vyote ambavyo vinatakiwa na atakaenipa ushauri mzuri ambao utanifaa hata kwa siku za baadae. Sio kwamba siwezi andika barua, unajua kila kitu kuna kuzidiana ndio maana hata darasani...
I give him a time from tomorrow I m not going to search him in that point najua nitapata majibu yalio kamili kama ananipenda atanitafuta tena and if ikiwa forever bac alikuwa ana ni test.
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums...
I give him a time from tomorrow I m not going to search him in that point najua nitapata majibu yalio kamili kama ananipenda atanitafuta tena and if ikiwa forever bac alikuwa ana ni test.
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.