zote wekea over 1.5 utanishukuru badae, achana na H2H zinachana sana huu mwezi, team nyingi zinapata unexpected results hasa zile zinazoshindaga mala nyingi.
ndio mkuu, na 3k ni ya kunifikisha mahali nakokwenda (transport fee) kufanya mishe flani na 2k inayobaki yes naweka mkeka ambao nimechambua mwenyewe na ninaamini kwa 100% kufikia saa sita usiku utakua umetick, please kama mtu anaweza nisaidia nitashukuru sana.
Habari wakuu, msaada wenu tafadhari, ninadharula flani inanikosesha raha na sina hata cent 5, mtu anaeweza nisaidia 5k tu kama mtaji wa bet leo naomba anisaidie, na nikifanikisha jambo langu hakika nitakushukuru kwa zaidi ya hiyo, mwenye 100, 200, 500, buku etc its ok, na Mungu awabariki...
sijapona bado, naendelea kunywa dozi, hapa kuna tatizo moja limetokea sasa 2 days kwa sasa siskii chochote yani hadi uniongeleshe kwa karibu, hospital walisema ni side effect tu za hizo dawa, niendelee kumeza hadi dosi iisho.na.kila.kitu kitatulia
Kama mada ilivohapo juu, nilianza kuumwa siku kama na nikaenda kupima majibu yakaja nina Malaria, lakini kadri nikinywa dawa nilizopewa ma kumeza ,mala mdomo na mate vikawa tasteless kila food nakiona kibaya, mwili ukaanza kuishiwa nguvu hadi sasa siwezi simama hata kwa takika 5 hivyo nikastop...
Habari wakuu na madaktari wa hili jukwaa.
Nimepata changamoto ambayo imebidi nije wajuzi mniambie what could be wrong. Few month ago kama miezi miwili hivi nilianza kuwasha juu ya ngozi kifuani hasa usiku nikiwa nimekaa tu, najikuna kifuani but nikawa naona kawaida tu but sasa vimetokea vipele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.