Recent content by PMWAKA

  1. PMWAKA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    zote wekea over 1.5 utanishukuru badae, achana na H2H zinachana sana huu mwezi, team nyingi zinapata unexpected results hasa zile zinazoshindaga mala nyingi.
  2. PMWAKA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    ndio mkuu, na 3k ni ya kunifikisha mahali nakokwenda (transport fee) kufanya mishe flani na 2k inayobaki yes naweka mkeka ambao nimechambua mwenyewe na ninaamini kwa 100% kufikia saa sita usiku utakua umetick, please kama mtu anaweza nisaidia nitashukuru sana.
  3. PMWAKA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Habari wakuu, msaada wenu tafadhari, ninadharula flani inanikosesha raha na sina hata cent 5, mtu anaeweza nisaidia 5k tu kama mtaji wa bet leo naomba anisaidie, na nikifanikisha jambo langu hakika nitakushukuru kwa zaidi ya hiyo, mwenye 100, 200, 500, buku etc its ok, na Mungu awabariki...
  4. PMWAKA

    Ma Dr na watu wa Afya Mje mniokoe😭

    ndio dawa nilipewa na Dr baada ya vipimo
  5. PMWAKA

    Ma Dr na watu wa Afya Mje mniokoe😭

    wacha nikiamba kutoka kitandani nijuandikie hapa descreption zake
  6. PMWAKA

    Ma Dr na watu wa Afya Mje mniokoe😭

    sijapona bado, naendelea kunywa dozi, hapa kuna tatizo moja limetokea sasa 2 days kwa sasa siskii chochote yani hadi uniongeleshe kwa karibu, hospital walisema ni side effect tu za hizo dawa, niendelee kumeza hadi dosi iisho.na.kila.kitu kitatulia
  7. PMWAKA

    Ma Dr na watu wa Afya Mje mniokoe😭

    shukrani sana kwa mchango wako mkubwa ambao naenda ufanyia kazi.
  8. PMWAKA

    Ma Dr na watu wa Afya Mje mniokoe😭

    Ndio sukari natumia
  9. PMWAKA

    Ma Dr na watu wa Afya Mje mniokoe😭

    zone ukimaanisha?
  10. PMWAKA

    Ma Dr na watu wa Afya Mje mniokoe😭

    asante sana Mkuu, Shukrani
  11. PMWAKA

    Ma Dr na watu wa Afya Mje mniokoe😭

    Amen Amen Nitapona hakika
  12. PMWAKA

    Ma Dr na watu wa Afya Mje mniokoe😭

    ooh asante sana mkuu, nimeongea na Dr wa hospital moja wanisaidie hizo sleeping pills imeshindikana
  13. PMWAKA

    Ma Dr na watu wa Afya Mje mniokoe😭

    Kama mada ilivohapo juu, nilianza kuumwa siku kama na nikaenda kupima majibu yakaja nina Malaria, lakini kadri nikinywa dawa nilizopewa ma kumeza ,mala mdomo na mate vikawa tasteless kila food nakiona kibaya, mwili ukaanza kuishiwa nguvu hadi sasa siwezi simama hata kwa takika 5 hivyo nikastop...
  14. PMWAKA

    kuwashwa juu ya kifua na vipele vidogo

    Habari wakuu na madaktari wa hili jukwaa. Nimepata changamoto ambayo imebidi nije wajuzi mniambie what could be wrong. Few month ago kama miezi miwili hivi nilianza kuwasha juu ya ngozi kifuani hasa usiku nikiwa nimekaa tu, najikuna kifuani but nikawa naona kawaida tu but sasa vimetokea vipele...
Back
Top Bottom