Recent content by PMWAKA

  1. PMWAKA

    WANASHERIA WA MASUALA YA ARDHI NA NYUMBA NAOMBA MAWAZO YENU YA SUALA HII KESI.

    Asante mkuu, wacha niende dm, sorry sikua online kwa muda nilikua safari.
  2. PMWAKA

    WANASHERIA WA MASUALA YA ARDHI NA NYUMBA NAOMBA MAWAZO YENU YA SUALA HII KESI.

    Wakuu habari zenu. Kuna jambo ningetamani kupata muongozo na ikiwezekana nijipange tupate mwanasheria mzuri wa kesi za kuzurumiwa nyumba, tena aliefanya hichi kitendo ni hakimu mstaafu,na ndio sababu hata hakimu alieamua kesi akafanya maamuzi ya kujuana na kupindisha sheria nyumba akapewa...
  3. PMWAKA

    Nimeibiwa Simu Nashindwa Kurenew Simcard Niliosajiliwa na Mtu Ambae Sasa Hayupo, Msaada

    Wakuu nimeibiwa simu na ina simcard ina savings zangu zote, sasa nashindwa kurenew simcard sababu alienisajilia nimetafuta bila mafanikio, naomba msaada kwa mnaofahamu hizi mambo. Kwenye makampuni ya simu naweza kisaidiwaje? nisaidieni mawazo please nahisi kuchanganyikiwa.
  4. PMWAKA

    Biashara ya kilimo cha tumbaku inalipa?

    ooh kumbe ni bora kununua mbolea na madawa mwenyewe kuliko kukopa mkuu?
  5. PMWAKA

    Biashara ya kilimo cha tumbaku inalipa?

    ooh, nadhani kwa mtu anaetaka kuanza ni bora kufanya hivi kuliko kulima direct.
  6. PMWAKA

    Biashara ya kilimo cha tumbaku inalipa?

    mkuu unaweza nifafanulia hii vizuri? samahani🙏
  7. PMWAKA

    Nimefungwa POP mkononi, lakini naskia maumivu makali mkwenye mkono, hii ni kawaida?

    Wakuu nisaidieni hili jambo. Nilienda kunyooshwa mkono (ulijikunja baada ya ajari), nikapigwa nusu kaputi sababu ulikua stiff ili.ukinyooka nifanyiwe surgery. Sasa umenyooshwa na nimewekewa pop, leo siku ya 2, lakini maumivu hayapoi ndani ya pop, japo nilipewa maelekezo ikitokea ngozi ya vidole...
  8. PMWAKA

    Msaada Kwa anaeweza kunisaidia kumpata Jaji huyu.

    ooh ok, ngoja niingie kwenye hiyo website ya mahakama, kuna images zao pia?
  9. PMWAKA

    Msaada Kwa anaeweza kunisaidia kumpata Jaji huyu.

    Niongeze information ipi mkuu? nimetoa tu hizo nazokumbuka sababu ni miaka mingi since 2014 sikua Tanzania na niliporudi sikufatilia kumuhusu, ndio sababu sijui vitu vingi sana after 2014
  10. PMWAKA

    Msaada Kwa anaeweza kunisaidia kumpata Jaji huyu.

    Maji ya kunde, mfupi kiasi,
  11. PMWAKA

    Msaada Kwa anaeweza kunisaidia kumpata Jaji huyu.

    Amelimit wanaoweza,kuview profile yake mkuu.
Back
Top Bottom