Recent content by pmd

  1. P

    PICHA: Rais Kikwete akizindua meli mbili za kikosi cha wanamaji JWTZ

    A lost National. Naomba kujua aliyetufadhili katika hiliiii.
  2. P

    Ripoti ya kutekwa, kuumizwa Kibanda hii hapa

    its too general report, nothing can help us. it has jxt fellings based on sekeseke la kisiasa linalo endelea. WANA JF NAOMBENI MNISAIDIE HAYA: 1. Sijaelewa uhusiano wa kumtaja the so called LUDOVICK, na hii issue ya kuteswa. 2. Waandaji wa Report, wamelizia na taarifa wanayosema kuwa CHADEMA...
  3. P

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    Eee Mungu, tuepushe na mabaya haya. Mungu washushie uponyaji wote waliopatwa na majeraha.
  4. P

    Nakaaya: Najilaumu kurudisha kadi ya CHADEMA

    Pole dada Nakaya......... Huu ni mfano tu mdogo wa baadhi wa watz walio na ugonjwa wa ufupi wa kimtazamo na tamaa ya mafaniokio ya muda mfupi badala ya kuwa na mitazamo ya miaka 100 ijayo. Imekula kwako. Poleeeeee!!!!!!!!!!
  5. P

    Nakaaya: Najilaumu kurudisha kadi ya CHADEMA

    Pole dada Nakaya......... huu ni mfano wa ufupi wa kimtazamo na kiutashi wa sisi watz, short sightness na tamaa ya mafanikio ya muda mfupi ndo ugonjwa wetu. Poleeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!
  6. P

    Zitto Kabwe mwenyekiti mpya kamati ya PAC

    Hongera Mh. Zitto, Nafurahi zaidi coz Limetoka Jembe, limeingia Jembe jingine, hope mchaka mchaka, utaendelea. GOD bless TZ!!!!!!!!!!
  7. P

    Lowassa: Kikwete, unda Tume kuchunguza Matokeo mabaya ya Kidato cha Nne

    Hili ni janga la Kitaifa, hivyo kuunda tume kunaweza kutusaidia kupata kiini cha tatizo na iwapo kama mapendekezo ya tume yatafanyiwa kazi tunaweza kujinasua na janga hili lililotikisa pande zote za nchi yetu. Lakini uzoefu unaonyesha kuwa Tume za kibongo huwa kiini macho tu.
  8. P

    CHADEMA yatikisa Mwanza, Furahisha pamekucha

    Kilichobaki hapo naona ni moyo tu wa uthubutu!!! Peoplezzzzz!!!!!!!!!!!!
Back
Top Bottom