Ukiangalia rangi za mavazi ya watu walio hudhuria kwenye mikutano hii miwili utagundua kabisa kuwa mkutano wa ccm una watu wamekuja disco na outing. Pia ccm inamvuto mkubwa sana kwa watoto
Huyu jamaa kasahau kuwa wanandoa ya kisiasa na cuf kule znz, mbunge wa morogoro mjini anasema juhudi binafsi sio za chama wa serikali yake. Kweli nimeamini upumbavu wa viongozi wa ccm unatoka kwa Mungu kama ulivyokuwa wa farao wa kule misri
Wachakajuaji inawezekana walikuwa na shule nzuri ya IT lakini hesabu zinawapiga ngwara, kwani kulikuwa na namba zilizo jirudia rudia sana na tofauti ilikuwa haina kabisa mathematical logic ambayo kilaza yoyote wa maths akifikiri kidogo tu aweza wastukia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.