Inawezekana mimi huwa sielew vizuri maana ya Tbs ..hususani pale nnapoona mabanko ya sigara yameandikwa "Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako'" na bdo zinaruhusiwa kuuzwa jeee Tbs inapima ubora upi???? wa viwango??
nawasilisha
Ugumu unakujaje mzee mbn cmple2 ..unamwamby2 ukwel changnya na uongo kdg akikubal hy akikataa haya ...habari ya kununua bando kwjli ya mtongozo na dem anakaa nyumba ya pili apo huo umama!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.