Tutaaminije sisi kwamba ilikuwa ni uchaguzi 2020 na kwamba wanaofanya hivyo ni kutokea chama cha kijani?
Je kama ni chama cha magwanda nao wakisuka mpango wa kuiaminisha dunia kwamba walihujumiwa? Tutaaminije sisi?
😏
Ujinga ni kujibu kitu kisichosaizi yako,
Narudia tena, Ni nani aliyeithibitishia dunia kwamba, chanjo hizi zinaubora na kumhakikishia mlaji usalama wake hata ya miaka mingi?
Hujui...! kaa kimya, siyo kuleta habari za mzungu hapa na chanjo ya miaka ya mababu zako, hata hao wazungu...
Siku hizi umekuwa mjinga?
Umesoma vizuri sana nilichiandika, ila umefanya maksudi kupotoa nilichoandika, huo ndio ujinga naousema
Nimeuliza...! Ni mwanasayansi nani aliyekuja na utafiti kuonyesha chanjo ni salama hata miaka mingi ijayo, badala yake wewe unazungumzia miezi?
Acha ujinga bhana
JPM, ndani yake nadhani mlikuwa na kisichoonekana chenye kumpa kuona mbaaaali sana! kwake ilikuwa ni bora afe yeye ila mtanzania asipate kitu kinaitwa chanjo ya korona, maana ni mpango mbovu juu ya afya ya badaye na uhai wa Taifa
Mpaka sasa, chanjo inasaidia kwa kiasi, ila hakuna hata...
Sielewi mpaka sasa kwa nini kanda ya ziwa wanahasira na CCM!
si vijana wala wazee, wote hawataki kitu inaitwa CCM, nadhani mapimduzi mapya yataanzia huko, licha kwamba hata Chadema hawaitaki, sijui itakuweje yani,
Hata mimi nataka CCM nao waanguke bhana, tumekaa nao sana aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.