Sielewi mpaka sasa kwa nini kanda ya ziwa wanahasira na CCM!
si vijana wala wazee, wote hawataki kitu inaitwa CCM, nadhani mapimduzi mapya yataanzia huko, licha kwamba hata Chadema hawaitaki, sijui itakuweje yani,
Hata mimi nataka CCM nao waanguke bhana, tumekaa nao sana aisee