Recent content by Plsm

  1. P

    Ningekuwa Rais wa Tanzania, team Mwendazake wote ningekuwa nishawasweka ndani, kizuizini au kuwapoteza wote

    wewe Etti ni nani na unamahusiano yepi na mhukumu wa haki? jinga kabisa wewe
  2. P

    Inadaiwa hizi video ni za wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2020

    Tutaaminije sisi kwamba ilikuwa ni uchaguzi 2020 na kwamba wanaofanya hivyo ni kutokea chama cha kijani? Je kama ni chama cha magwanda nao wakisuka mpango wa kuiaminisha dunia kwamba walihujumiwa? Tutaaminije sisi?
  3. P

    #COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

    😏 Ujinga ni kujibu kitu kisichosaizi yako, Narudia tena, Ni nani aliyeithibitishia dunia kwamba, chanjo hizi zinaubora na kumhakikishia mlaji usalama wake hata ya miaka mingi? Hujui...! kaa kimya, siyo kuleta habari za mzungu hapa na chanjo ya miaka ya mababu zako, hata hao wazungu...
  4. P

    #COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

    Siku hizi umekuwa mjinga? Umesoma vizuri sana nilichiandika, ila umefanya maksudi kupotoa nilichoandika, huo ndio ujinga naousema Nimeuliza...! Ni mwanasayansi nani aliyekuja na utafiti kuonyesha chanjo ni salama hata miaka mingi ijayo, badala yake wewe unazungumzia miezi? Acha ujinga bhana
  5. P

    #COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

    JPM, ndani yake nadhani mlikuwa na kisichoonekana chenye kumpa kuona mbaaaali sana! kwake ilikuwa ni bora afe yeye ila mtanzania asipate kitu kinaitwa chanjo ya korona, maana ni mpango mbovu juu ya afya ya badaye na uhai wa Taifa Mpaka sasa, chanjo inasaidia kwa kiasi, ila hakuna hata...
  6. P

    Nikiulizwa Magufuli ameacha nini kikubwa, nitasema kuwa Magufuli ameacha hofu kwa Watanzania

    Uzi wa kipuuuuzi kabisa kuwahi kutokea hapa jf
  7. P

    CCM tumshauri Rais Samia asigombee 2025

    Sielewi mpaka sasa kwa nini kanda ya ziwa wanahasira na CCM! si vijana wala wazee, wote hawataki kitu inaitwa CCM, nadhani mapimduzi mapya yataanzia huko, licha kwamba hata Chadema hawaitaki, sijui itakuweje yani, Hata mimi nataka CCM nao waanguke bhana, tumekaa nao sana aisee
  8. P

    Baada ya Ole Nasha kufariki ni wakati wa Mkataba wa bandari ya Bagamoyo kuwa wazi

    Ujinga huondoka pindi unapokubali kuwa mwanafunzi unataka kuendelea kuwa mjinga siyo?
  9. P

    Baada ya Ole Nasha kufariki ni wakati wa Mkataba wa bandari ya Bagamoyo kuwa wazi

    Wewe level ya uelewa wako ni duni mno Unachoongea na kilichoulizwa ni vitu viwili tofauti kabisa, unatoa vijikashifa vya kipumbavu kama ulivyo wewe
  10. P

    Serikali kubana matumizi napo tunasubiri Benki ya Dunia (WB) ituambie? Hatuwezi kuona tunakokwenda?

    Africa bala la giza, wasipoambiwa, hawawezi kufanya hiyo kitu
Back
Top Bottom