Karatas ni zakutoka nacte hazikuchapishwa upya ndio maana naliona hili jambo co la hapa ndio maana hata wale matokeo yao yamekua retained wamefuta tu na Marker..
Co kwamb ctakwenda kuuliza, nikipata uhakika kwamb haiwezekan nitaanza kuulzia hpa nakuendelea.
Ctak kujiingiza katka hili kabla...
Nilichohitaj hpa nikujua kama kuna vgezo vngne zaid ya gpa.. Nikipata uhakika bac nitaanza kufuatilia mwenywe namna yakujisaidia.
Kama ikionekana nisahih nakuna vgezo zaid nitashkur Mungu nakuachana na hii habar.. Sina sabab yakudanganya!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.