Usilolijua shida ya mrusi anataka nato ajitokeze laivu aone, hata Kama mrus atashindwa kumbuka zipo nchi nying zinazomuunga mkono mrusi hayupo peke yake na ikitokea nato wakamchokoza wajiandae wazungu kuwa wakimbizi Afrika
Sent from my Infinix X657C using JamiiForums mobile app
Shida so kudunda shida hataki maridhiano na ndugu yake anaona Bora kutunidmsa kifua huku anaangamiza taifa lake
Sent from my Infinix X657C using JamiiForums mobile app
Changamoto ya ufugaji wa kuku huja kwenye gharama za chakula. Kwa yeyote mwenye formula nzuri ya Chakula cha kuku chotara tupeane elimu zaidi kwaajili ya mafanikio zaidi.
ASANTENI
Laiti Kama viongozi wangekuwa wanafuatilia comment zetu kilimo kingewekewa bajeti kubwa kuliko sekta zingine maana Tanzania tunaishi kwa kutegemea mvua tu wakati misri na nchi ambazo zinazungukwa na majangwa ambapo mvua n nadra lakin wanalima Sana kuliko sisi ambapo mvua zikinyesha vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.