Leo tutaiangalia kwa harakaharaka keno inachezwaje ili kuwapa mwanga wale wasiojua huu mchezo unachezwaje na baadhi ya trick(s) unazoweza kutumia ili kujishindia pesa.
Utangulizi.
Keno ni mchezo wa bahati nasibu aina ya lottery.mchezo huu ulianzia china zamani kwenye miaka ya 180 na kuanza...
BI.FOXY,NIMERUDI TENA "MZEE WA KUANDIKA KWA HERUFI KUBWA" KESHO NITATOA DARASA KWA WANAOTAKA KUTAJIRIKA KWENYE MCHEZO WA KAMARI AINA YA "KENO" KWANI KAMARI INA IDADI KUBWA SANA YA WAFUASI THIS TIME....NAKUSHAURI TUJUMUIKE KWA PAMOJA KATIKA DARASA LANGU NA NITARUHUSU MASWALI MBALIMBALI ....karibu...
Yani kesho nitaanza na kuelezea kwa kina yaani
Keno ni nini....
Ilianzishwa wapi.....
Mfumo gani unatumika kuendesha huu mchezo..
Jinsi gani wamiliki wanapata faida ....nk
Kutokana na capital kuwa ndogo yaani kama nikiingia na elfu 60,000/= 9:00am nina uhakika wa kuondoka na 200,000 mpaka 240,000/=8pm lakini kuna changamoto nyingi kwani kuna muda network inasumbua na mara nyingi ni pale inapotokea umeme umekatika na nyinginezo
Nina siri nzito juu ya huu mchezo,na Kama unataka kujua ni jinsi gani unaweza kushinda pesa nyingi iwe kwa kuzuia namba,kwa kutoa namba au hata at least basi usihofu,nimeandaa steps zoote ambazo unatakiwa kuzifanya ili utajirike ikiwa ni pamoja na kuweka hadharani siri na namna ya kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.