Una miaka mingapi na unaulizia vijana wa umri gani Kama ni 20-25 au chini ya hapo sikulaumu kozi akili haijakomaa vizuri. Halafu kila mtu ana maisha yake hapa mjini kuna mwingine hawezi kimoja kati ya hvyooo Koo majumuisho ndo yakawa yote Ila sio wote mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.