Recent content by plagiarism

  1. plagiarism

    Ushauri: Ugomvi wa kaka na baba juu ya watoto wa kaka

    Mkuu naona kama anapotea sana hadi maneno machafu anatoa 😞
  2. plagiarism

    Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

    Unataka uwe Diwani mkuu?
  3. plagiarism

    Je, ni sahihi kumuachia mkeo Tsh. 2000/= ya matumizi?

    Wewe mwenyewe unaonaje akichepuka usije kulilia hapa.
  4. plagiarism

    Hizi ndizo kazi ambazo mtoto wa mjini hawezi kuzifanya...

    Binafsi Mungu ananiepusha sana ila kuna vitu hata mimi siwezi fanya sio makusudi au najifanya but akili mtu wangu jitambue tu.
  5. plagiarism

    Hizi ndizo kazi ambazo mtoto wa mjini hawezi kuzifanya...

    Brooo maisha haya yana kuigiza sana usiangalie kwa macho na mdomo ukajiridhisha kaa mkao utaelewa
  6. plagiarism

    Hivi inawezekana watoto wa baba mmoja na mama mmoja wasifanane?

    Tumwambis mwanaume mwenzetu UMEPIGWA .......😂
  7. plagiarism

    TRA na Kariakoo kunanini

    Binafsi watakusajilia store yako but siku sio nyingi wataanza kukata kodi ni swala la muda tu kaka ila hii isikufanye ufunge biashara
  8. plagiarism

    Hizi ndizo kazi ambazo mtoto wa mjini hawezi kuzifanya...

    Una miaka mingapi na unaulizia vijana wa umri gani Kama ni 20-25 au chini ya hapo sikulaumu kozi akili haijakomaa vizuri. Halafu kila mtu ana maisha yake hapa mjini kuna mwingine hawezi kimoja kati ya hvyooo Koo majumuisho ndo yakawa yote Ila sio wote mkuu
  9. plagiarism

    Wakili: Deni la Membe kwa Musiba liko palepale

    Hapo anakata rufaa kesi imeisha 😂😂😂 Hilo tunalijua
  10. plagiarism

    Rasmi: Napiga chini mapenzi

    Hujatuweka wazi binafsi usikatae ndoa Ila acha umalaya 🙃😂😂
  11. plagiarism

    Aliemaliza form 6 kabla ya matokeo anaweza akaolewa?

    Mimi nimeshuhudia mtu kamaliza form 4 kafungishwa ndoa na mziki mkubwa tu mpaka asubuhi maaamuzi tu
  12. plagiarism

    Naomba kujua kama kuna watu wanakaa Dar es salaam wanafanya kazi Zanzibar

    Mimi binafsi naunga hoja inawezekana kabisa watu hao wapo
Back
Top Bottom