Recent content by PiusShirima

  1. PiusShirima

    Wauzaji mayai mmekumbwa na Nini trey 5000?

    Na ya kienyeji yatakuwa sh ngap?
  2. PiusShirima

    Ufuta na vireja

    Ningependa kuuliza ivi kati ya ufuta (wa mviringo) na vireja ambavyo vyote huwekwa dukani na kuuzwa sh 100 kwa kimoja. JE KIPI KATI YAO HUPENDWA SANA NA WATEJA?
  3. PiusShirima

    Hivi zile matatuu za Kenya wanaunda wenyewe?

    Ni noma zile gari kuzipimp ni be8 kuliko hata gari yenyewe ikiwa yard na ndani mziki wake hamsikilizani
  4. PiusShirima

    Nitafanya biashara gani

    Ningependa unifafanulie zaid yani nyanya za million 5 wanunue mama ntilie si ntachukua muda mrefu na hao mama ntilie si wanatakiwa wawe weng sana labda dsm nzima
  5. PiusShirima

    Nitafanya biashara gani

    Nina million 5 za kitanzania, Naomba mnishauri nifanye biashara gani ambayo itanikifisha mbali kwa mtaji huo.
  6. PiusShirima

    Sasa imekuwa kero, amewahadithia marafiki zake kuwa najua mapenzi

    These holes there are for anybody..by juicy j
  7. PiusShirima

    Tafadhali kuwa na huruma

    Mapenzi pesa pambana
Back
Top Bottom