Siku za mwisho watu watakataa kwamba mungu hayupo kwa saababu wametenda maovu mengi lakini mungu hajawaadhibu. Lakini ahadi ya mungu iko palepale "yaacheni magugu na ngano vikue kwa pamoja siku ya mavuno, ngano itachambuliwna kuwekwa ghalani lakini magugu yatatengwa na kuchomwa moto"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.